Wana JF, kuuliza si ujinga ndugu zangu. Naomba mnisaidie, nini maana ya FACEBOOK na inatumikaje? Nimekuwa nikisikia terminology hii kila kukicha na kila niulizpo watu, wengi nona kwao inakuwa mashikolo. Nisaidieni tafadhali. Na kama kuna uwezekano, nielekezeni namna ya kujiunga.