Jopo la madaktari limekaa baada ya kumfanyia uchunguzi wa afya yake na kugundua kua kuendelea kucheza soka ni kuhatarisha uhai wake.hivyo PATRICE MUAMBA mkongomani aliekua akichezea bolton wonderas ametangaza kuacha kucheza mpira wa miguu.ikumbukwe kua mchezaji huyo alianguka uwanjani baada ya kupatwa na matatizo kwenye moyo wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.