Jemedaree
JF-Expert Member
- Nov 22, 2021
- 673
- 1,993
Habari ndugu zangu!
Nimeagiza gari ambayo natarajia kufika hivi karibuni
Hii ni mara yangu ya kwanza kuagiza mwenyewe bila Agent, kuanzia kuchagua mpaka malipo na hata documents zimeshatumwa kwangu kwa DHL
Gari ni Toyota Crown Athlete GRS 182.
Nimeagiza kampuni ya SBT
CIF $3150
sasa kilichonileta hapa SIO KODI YA TRA bali ni kutaka kujua hizo extra-port charges tu specific kwa gari hii maana natumaini ni gari common na watu wengi wameshaagiza toka japan
-handling fee
-Corridor Levy
-Wharfage
-shipping line
-port charges
Na nyingine amabayo sija mention hapo
Natanguliza Shukrani zangu
Nimeagiza gari ambayo natarajia kufika hivi karibuni
Hii ni mara yangu ya kwanza kuagiza mwenyewe bila Agent, kuanzia kuchagua mpaka malipo na hata documents zimeshatumwa kwangu kwa DHL
Gari ni Toyota Crown Athlete GRS 182.
Nimeagiza kampuni ya SBT
CIF $3150
sasa kilichonileta hapa SIO KODI YA TRA bali ni kutaka kujua hizo extra-port charges tu specific kwa gari hii maana natumaini ni gari common na watu wengi wameshaagiza toka japan
-handling fee
-Corridor Levy
-Wharfage
-shipping line
-port charges
Na nyingine amabayo sija mention hapo
Natanguliza Shukrani zangu