Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,133
- 995
Nzuri. Nimeipenda.
Karibu, ujipatie design yako ujenge
Nzuri. Nimeipenda.
Safi sana mkuu
Karibu
Mkuu Jerhy unachora kwa bei gani nyumba ya room mbili chini na single master on 1st storey..
Shukrani.....
Architectural drawings bei zake zinafahamika sana
Kwa watu gani?? weka bei japo tentative tu tupate clues
Hivi tutakuwa tunajadili bei hapa wakati kila mtu ana dream house yake na techinical design tofauti, vile vile ukokotoaji wa bei ya design ya jengo lako unafahamika mkuu. Nikusisitize kitu kimoja ni kuwa "Architects we are meant to provide ideas about client's dream house, but we are not selling drawings".
Well said and noted that, ndio maana hata madukani huwa pa a price tags so MTU wachukua kitu tokana na needs zake!
Ntakutafuta kwa ideas
Nikiwa tayari nitakutafuta kupitia 0787-459-850
Hawa mimi hawanisumbui hawana lolote hizi Pic wanadownload kwenye mitandao hawana lolote hata hawajielewi kule fb ndiyo wamefungua mapage kibao wanadrop hizi Pic za mitandao,kuna kipindi nilikuwa ---- nikaamini wanachora kweli nikawatafuta hawana ramani hata moja wanataka kujifunzia kwangu,msipoteze mda wenu na hawa watu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mkuu hembu niambia eti hapa unalaza tofali kama za Ghorofa au unasimamisha kama kawaida,hasa pale kwenye hizo Rooftop terraces
View attachment 196564
Mkuu Mushi bila samahani,humu Jf kilamtu anatakiwa kutoa mchango wakemkuu samahan japo sikutakiwa kuijibu...
lkn ujue kwamba sio kulaza tofali ni kujenga ghorofa......kama nguzo zipo imara unaweza simamisha au hata kuta ukajengea mbao