Exclusive: Mwaikagale plagiarized a Mozambican author?

Aliwekwa kizuizini na nani maana alikuwa anapendwa sana na Nyerere pamoja na Samora, tena ni miongoni mwa waliokuwa viongozi wa TAMOFA - kwenye makabrasha kuna picha moja wako msituni na Samora kwenye meza ya mti!

that is my question, yes alipendwa na JKN, at the same time aliwekwa kuzuizini? maana hii ya kuwekwa kizuizini kuna member mmoja ali disclose hapa akihusisha Sheihk yahaya alipomuibia Mwakikagile document zake South Africa.
 
that is my question, yes alipendwa na JKN, at the same time aliwekwa kuzuizini? maana hii ya kuwekwa kizuizini kuna member mmoja ali disclose hapa akihusisha Sheihk yahaya alipomuibia Mwakikagile document zake South Africa.
Waberoya.
Wewe umecomfyuzi mambo hapa. Aliyeibiwa makaratasi yake na Sheikh Yahya ni :Ludovic Mwijage. Yeye alihusishwa na njama za mapinduzi na kuwekwa kizuizini.
 
What is overlooked is the fact that he cited the source, the pdf file.

It's ridiculous to suggest that it would suffice with an internet address to some obscure pdf file on the internet as source of reference in a book dealing with serious historical subject matter written by a Man of Letters of Mwaikagale's standard.

Addresses to files or other intellectual resources available on the internet are amended everyday and sometimes even deleted altogether, so citing an http address to an online publication would simply not meet the rigorous and specific requirements for acknowledging reference sources in an academic body of work.
 
It's ridiculous to suggest that it would suffice with an internet address to a pdf file as source of reference in a book dealing with serious historical subject matter written by a Man of Letters of Mwaikagale's standard.

Addresses to files or other intellectual resources available on the internet are amended everyday and sometimes even deleted altogether, so citing an http address to an online publication would simply not meet the rigorous and specific requirements for acknowledging reference sources in an academic body of work.

what if is not academic body of work?
 
Aliwekwa kizuizini na nani maana alikuwa anapendwa sana na Nyerere pamoja na Samora, tena ni miongoni mwa waliokuwa viongozi wa TAMOFA - kwenye makabrasha kuna picha moja wako msituni na Samora kwenye meza ya mti!

Naikumbuka picha hiyo ya Jenerali Ulimwengu na Samora Machel. Ulimwengu alivaa vazi la kijeshi pamoja na kofia - a cap - kama Samora. Walikuwa kaskazini ya Mozambique kama ninavyoikumbuka picha hiyo katika liberated zone and under Frelimo control. Ilichapishwa pia katika gazeti la "Daily News" na mahali pengine.

Haukuwa ni uamuzi wa Nyerere kila wakati mtu alipowekwa kizuizini. Jenerali Ulimwengu amekorofishana na watu mbali mbali pamoja na watu wenye madaraka kwa muda mrefu. Kuna watu ninaowafahamu hapa Dar wanaosema Jenerali Ulimwengu is very arrogant, na wamesema hivyo kwa muda mrefu tangu alipokuwa mwandishi wa habari pale gazetini "Daily News." Na bado ana reputation hiyo. Hata anavyozungumza na watu kuna ambao wanao mwona kama ni mtu mwenye maringo na anayejiona anajua karibu kila kitu kuliko watu wengine. Niliwahi kusikia kwamba rafki yake Naijuka Kasihwaki pia ana reputation hiyo tangu walipokuwa wanafunzi, law students, pamoja Mlimani UDSM.

Jenerali hana reputation hata kidogo kama ni mtu mnyenyekevu au ambaye ni humble person.

Kwahiyo matatizo yake hayakuanza na Mkapa. Na ikiwa kuna viongozi na wana Usalama wa Taifa wanaotaka kukuweka kizuizini kwa sababu yoyote, huwezi kufanya chochote. Ndiyo maana wanaogpowa. Nakumbuka walikuwa wanaogopwa sana enzi ya Nyerere kwa sababu mambo yalivyokuwa enzi ile.

Hata Jenerali Ulimwengu mwenyewe anajua ana maadui wengi. Na si wanasiasa tu.
 
Naikumbuka picha hiyo ya Jenerali Ulimwengu na Samora Machel. Ulimwengu alivaa vazi la kijeshi pamoja na kofia - a cap - kama Samora. Walikuwa kaskazini ya Mozambique kama ninavyoikumbuka picha hiyo katika liberated zone and under Frelimo control. Ilichapishwa pia katika gazeti la "Daily News" na mahali pengine.

Haukuwa ni uamuzi wa Nyerere kila wakati mtu alipowekwa kizuizini. Jenerali Ulimwengu amekorofishana na watu mbali mbali pamoja na watu wenye madaraka kwa muda mrefu. Kuna watu ninaowafahamu hapa Dar wanaosema Jenerali Ulimwengu is very arrogant, na wamesema hivyo kwa muda mrefu tangu alipokuwa mwandishi wa habari pale gazetini "Daily News." Na bado ana reputation hiyo. Hata anavyozungumza na watu kuna ambao wanao mwona kama ni mtu mwenye maringo na anayejiona anajua karibu kila kitu kuliko watu wengine. Niliwahi kusikia kwamba rafki yake Naijuka Kasihwaki pia ana reputation hiyo tangu walipokuwa wanafunzi, law students, pamoja Mlimani UDSM.

Jenerali hana reputation hata kidogo kama ni mtu mnyenyekevu au ambaye ni humble person.

Kwahiyo matatizo yake hayakuanza na Mkapa. Na ikiwa kuna viongozi na wana Usalama wa Taifa wanaotaka kukuweka kizuizini kwa sababu yoyote, huwezi kufanya chochote. Ndiyo maana wanaogpowa. Nakumbuka walikuwa wanaogopwa sana enzi ya Nyerere kwa sababu mambo yalivyokuwa enzi ile.

Hata Jenerali Ulimwengu mwenyewe anajua ana maadui wengi. Na si wanasiasa tu.
Nasikia Mkapa alimtumia vijana nyumbani kwake waliompa kipigo kweli kweli.
 
Joka Kuu,

Uria Simango alitaka kummaliza Dr. Eduardo Mondlane. Mondlane alipouawa February 1969, nadhani February 13th, wachache wetu kutoka Tambaza High School tulitembea na kwenda kwenye mazishi yake Kinondoni Cemetery. Uria Simango alizungumza kwenye msiba huo, kwa nguvu sana, lakini baada ya hapo, watu wengi waliona hakuwa na huzuni hata kidogo. Hata mimi nilimwona hivyo siku ile mchana. Na ilikuwa mara ya kwanza nilipomwona Mwalimu Nyerere akitoa majonzi hadharani. Yalikuwa kidogo tu na hakusema chochote siku hiyo.

Nakumbuka mke wa Dr. Mondlane, Janet, aliposimama pembeni pale kaburini na watoto wao wawili. Wengi wetu tulijaa na huzuni lakini siyo Uria Simango.

Yeye mwenyewe alimalizwa. Nilisikia Nachingwea na inawezekana makaburi yao yako huko kama nilivyowahi kusikia. Unaweza kuchunguza zaidi.

Dah! Hivi Mondlane alizikwa Kinondoni?
Si mchezo!
 
Naikumbuka picha hiyo ya Jenerali Ulimwengu na Samora Machel. Ulimwengu alivaa vazi la kijeshi pamoja na kofia - a cap - kama Samora. Walikuwa kaskazini ya Mozambique kama ninavyoikumbuka picha hiyo katika liberated zone and under Frelimo control. Ilichapishwa pia katika gazeti la "Daily News" na mahali pengine.

Haukuwa ni uamuzi wa Nyerere kila wakati mtu alipowekwa kizuizini. Jenerali Ulimwengu amekorofishana na watu mbali mbali pamoja na watu wenye madaraka kwa muda mrefu. Kuna watu ninaowafahamu hapa Dar wanaosema Jenerali Ulimwengu is very arrogant, na wamesema hivyo kwa muda mrefu tangu alipokuwa mwandishi wa habari pale gazetini "Daily News." Na bado ana reputation hiyo. Hata anavyozungumza na watu kuna ambao wanao mwona kama ni mtu mwenye maringo na anayejiona anajua karibu kila kitu kuliko watu wengine. Niliwahi kusikia kwamba rafki yake Naijuka Kasihwaki pia ana reputation hiyo tangu walipokuwa wanafunzi, law students, pamoja Mlimani UDSM.

Jenerali hana reputation hata kidogo kama ni mtu mnyenyekevu au ambaye ni humble person.

Kwahiyo matatizo yake hayakuanza na Mkapa. Na ikiwa kuna viongozi na wana Usalama wa Taifa wanaotaka kukuweka kizuizini kwa sababu yoyote, huwezi kufanya chochote. Ndiyo maana wanaogpowa. Nakumbuka walikuwa wanaogopwa sana enzi ya Nyerere kwa sababu mambo yalivyokuwa enzi ile.

Hata Jenerali Ulimwengu mwenyewe anajua ana maadui wengi. Na si wanasiasa tu.
either ur is biographer au ndio we, mtu unawezaje kuwa na details zote za mtu mpaka kumbukumbu za picha zilizopo maktaba na habari zake za nje ya nchi anyhow its only my opinion.
 
that is my question, yes alipendwa na JKN, at the same time aliwekwa kuzuizini? maana hii ya kuwekwa kizuizini kuna member mmoja ali disclose hapa akihusisha Sheihk yahaya alipomuibia Mwakikagile document zake South Africa.

Ninavyofahamu aliyeibiwa document Swaziland (si South Africa) na Sheikh Yahya si Mwakikagile bali ni muandishi mwingine aliyeandika negatively kuhusu Nyerere, anaitwa Ludovick S. Mwijage kitabu kinaitwa "The Dark Side of Nyerere's Legacy", labda hayo majina ya Mwa... Mwa... na the fact kwamba wote wamendika vitabu on Nyerere yanawachangan watu

Kitabu chenyewe kinapatikana hapa

http://myafrica.wordpress.com/2006/09/11/the-dark-side-of-nyereres-legacy-by-ludovick-s-mwijage/
 
Nasikia Mkapa alimtumia vijana nyumbani kwake waliompa kipigo kweli kweli.

Naamini kabisa. Niliskia pia kwamba kulikuwa na uwezekano wa kummaliza kabisa wangetaka kufanya hivyo.

Nimemwona mara nyingi hapa Dar lakini inaonekana hajali chochote. Kuna wakati alizungumza, pamoja na Walter Bgoya, kwenye sherehe ya kukitangaza kitabu cha Edwin Mtei na Ulimwengu alizungumza kama hana matatizo yoyote.
 
Waberoya.
Wewe umecomfyuzi mambo hapa. Aliyeibiwa makaratasi yake na Sheikh Yahya ni :Ludovic Mwijage. Yeye alihusishwa na njama za mapinduzi na kuwekwa kizuizini.

Huyo Mwijage ameangaliwa vizuri sana. Na hayuko pekee. Kile kitabu chake hakikuandikwa na yeye tu, if at all. Kuna mengi sana kuhusu kitabu hicho - and who is behind it.
 
Dah! Hivi Mondlane alizikwa Kinondoni?
Si mchezo!
Dr. Eduardo Mondlane alizikwa Kinondoni Cemetery February 1969. Watu wengi walihudhuria mazishi hayo. Wanafunzi wachache kutoka Tambaza tulikuwa miongoni mwao pamoja na mabalozi, viongozi wa serikali, na wapigania uhuru kutoka nchi za Afrika Kusini.
 
Huyo Mwijage ameangaliwa vizuri sana. Na hayuko pekee. Kile kitabu chake hakikuandikwa na yeye tu, if at all. Kuna mengi sana kuhusu kitabu hicho - and who is behind it.
I hope one day details zote zisizofahamika kuhusu huyu jamaa na kitabu zake zitajulikana.
 
ni vitu gani vinatakiwa kutolewa attribution na vipi sio muhimu? nauliza hili swali kutokana na hoja hizi. zaidi ya hapo nadahani tutajikuta tunatakiwa ku attribute mpaka herufi hizi A-Z na a - i-o-u

- Kwanini Methali nahaku na misemo hazina atrribution
- False attribution kama zile za kugundua mlima kimanjaro zina
madhara gani
 
Waberoya.
Wewe umecomfyuzi mambo hapa. Aliyeibiwa makaratasi yake na Sheikh Yahya ni :Ludovic Mwijage. Yeye alihusishwa na njama za mapinduzi na kuwekwa kizuizini.

kweli nili- confyuzi habari LOL! asante kwa clarification
 
Ninavyofahamu aliyeibiwa document Swaziland (si South Africa) na Sheikh Yahya si Mwakikagile bali ni muandishi mwingine aliyeandika negatively kuhusu Nyerere, anaitwa Ludovick S. Mwijage kitabu kinaitwa "The Dark Side of Nyerere's Legacy", labda hayo majina ya Mwa... Mwa... na the fact kwamba wote wamendika vitabu on Nyerere yanawachangan watu

Kitabu chenyewe kinapatikana hapa

http://myafrica.wordpress.com/2006/09/11/the-dark-side-of-nyereres-legacy-by-ludovick-s-mwijage/

Asante kaka, nadhani nimejua wapi nilipoconfyuzi, sijawahi kusoma wala kujua kinahisi nini hiki kitabu, nilipoona title tu, haraka ikanijia picha ya Mwakikagile, nashangaa wala sikujua kina negative issues!

Asante kaka, next time I will be careful!
 
Uko kwenye denial wewe

Labda Kichuguu amesahau maana ya plagiarism. Ngoja tumkumbushe. Kwa mujibu wa Cambridge Dictionary, to plagiarise is

"to use another person's idea or a part of their work and pretend that it is your own''

Kwenye uandishi kosa la juu kabisa kuliko yote ni hiyo inayoitwa plagiarism. Yaani ni sawa na uhaini.
 
Naikumbuka picha hiyo ya Jenerali Ulimwengu na Samora Machel. Ulimwengu alivaa vazi la kijeshi pamoja na kofia - a cap - kama Samora. Walikuwa kaskazini ya Mozambique kama ninavyoikumbuka picha hiyo katika liberated zone and under Frelimo control. Ilichapishwa pia katika gazeti la "Daily News" na mahali pengine.

Haukuwa ni uamuzi wa Nyerere kila wakati mtu alipowekwa kizuizini. Jenerali Ulimwengu amekorofishana na watu mbali mbali pamoja na watu wenye madaraka kwa muda mrefu. Kuna watu ninaowafahamu hapa Dar wanaosema Jenerali Ulimwengu is very arrogant, na wamesema hivyo kwa muda mrefu tangu alipokuwa mwandishi wa habari pale gazetini "Daily News." Na bado ana reputation hiyo. Hata anavyozungumza na watu kuna ambao wanao mwona kama ni mtu mwenye maringo na anayejiona anajua karibu kila kitu kuliko watu wengine. Niliwahi kusikia kwamba rafki yake Naijuka Kasihwaki pia ana reputation hiyo tangu walipokuwa wanafunzi, law students, pamoja Mlimani UDSM.

Jenerali hana reputation hata kidogo kama ni mtu mnyenyekevu au ambaye ni humble person.

Kwahiyo matatizo yake hayakuanza na Mkapa. Na ikiwa kuna viongozi na wana Usalama wa Taifa wanaotaka kukuweka kizuizini kwa sababu yoyote, huwezi kufanya chochote. Ndiyo maana wanaogpowa. Nakumbuka walikuwa wanaogopwa sana enzi ya Nyerere kwa sababu mambo yalivyokuwa enzi ile.

Hata Jenerali Ulimwengu mwenyewe anajua ana maadui wengi. Na si wanasiasa tu.

Tunatabia ya kuwa-lable sharp thinkers katika society yetu, Mtu ukiwa unafikiri tofauti, unatoa mawazo yako kwa uwazi, forcibly and confidently, tena kwa kuonyesha uelewa wa hali ya juu lazima uwe labelled, kama hivyo arrogant, anajiona, anajifanya mjuaji, ana kimbelembele, etc. Tunataka kila mtu awe kama sisi, akubaliane na mawazo yetu, asiongee sana kwenye vikao, akwepe vyombo vya habari, aseme mimi sio msemaji, aunge mkono wasemayo wakubwa kama haungi mkono anyamaze kimyaaa, kwa kifupi awe goigoi kama sisi, then ataonekana mtiifu, mnyenyekevu, ni mwenzetu-hili ndilo lililomshinda Ulimwengu, na sishangai kwamba anapewa labels zote hizi=hivi ndivyo tulivyo-shame on us!
 
Tunatabia ya kuwa-lable sharp thinkers katika society yetu, Mtu ukiwa unafikiri tofauti, unatoa mawazo yako kwa uwazi, forcibly and confidently, tena kwa kuonyesha uelewa wa hali ya juu lazima uwe labelled, kama hivyo arrogant, anajiona, anajifanya mjuaji, ana kimbelembele, etc. Tunataka kila mtu awe kama sisi, akubaliane na mawazo yetu, asiongee sana kwenye vikao, akwepe vyombo vya habari, aseme mimi sio msemaji, aunge mkono wasemayo wakubwa kama haungi mkono anyamaze kimyaaa, kwa kifupi awe goigoi kama sisi, then ataonekana mtiifu, mnyenyekevu, ni mwenzetu-hili ndilo lililomshinda Ulimwengu, na sishangai kwamba anapewa labels zote hizi=hivi ndivyo tulivyo-shame on us!

Kaka Kitila,

Pole na kazi, salam sana. Huko juu kilimani hata siwezi ku imagine mnayoumia na hii system yetu isiyo aibu wala kukinai. Zaidi ya hapo siwezi ku imagine courage yenu kwa kuweza kusema kilicho kweli ingawa mnaweka a lot on the line.

It seems to me a little bit of arrogancy, if this is what this is justly dubbed as at all, is called for, even patriotic, in these times.


Kama mtu unakuwa so sharp, na kuweza ku articulate positions so clearly so that nothing short of dogmatic traditionalism can stop you, why not be arrogant?

Why not be "arrogant" indeed, if in your heart of hearts , you feel that most of us are ignorant? Will being arrogant be ignorance or a self sacrificing service? Will being humble and inactive in the middle of our current house fire be some sort of Himalayan monk's virtue descendind into Tanzania or a blunder?

Will this necessary arrogance cause grief and pain or advancement when the long term effect of these matters is to be considered?

A big part of this funereal problem is that, as pointed out eloquently in your carefully chosen words, we tend to respect traditions at thye expense of the needful, at the expense of diligence.

If Tanzania's problem is that we do not have enough arrogant people who will be obliged to tramp on traditions of not stepping on eminent people's toes, then so be it, let them be arrogant. That is what I call leadership, if a few peope take very unsafe positions, very self exposing positions, in the name of the truth, then that ceases to be arrogancy at all, that becomes patriotism, that becomes principle.

If Ulimwengu is the only one who can be principled enough to call on "Mkapa's" transformationj from a 60's "Azimioa la Arusha" Fabian by induction revolutionary to a stooge who is bound to twist rhetoric and sound that his pro third world, pro-South, pro-Africa, pro-Tanzania trash, while really dancing to 10 Dowing, 1600 Pensylvannia Ave, Davos, Paris Club, IMF, WB the works, then we need more arrogant people, then our problem becomes not that we have a few arrogant people, but it becomes that we do not have enough arrogant people.

Give me that brand of arrogant people, any second, any minute, any hour, any day, any week, any month of the year, and any year of the decade, and any decade of the century, and any century of the millennium, et cetera et cetera.

Are we so stooped in humility not to recognize rape in it's midst?

For what Mkapa did is nothing short of rape, and how can anybody raise his or her voice to affect a grounded defence on the part of Mkapa against Ulimwengu and his ilk? This is not only unpatriotic, it is treason in it's barest face.

How can you cloth Mkapa's rape, the real arrogant move, with the tradition of humility ?. How can you -in not so many words, but in so many words that the readers of history, and Ikulu insiders who stepped inside Ikulu before they were born, ones who like Plurtarch in the olden days can pinpoint the Mkapa-Ulimwengu row down to the Palm Peach Hotel drinking binges- turn the humility card upside down?


If there is anybody who needs a lesson in humility here it should be Benjamin William Mkapa and not Mr. Ulimwengu. At least from their public utterances and known actions.

All you Mkapa supporters, please, stop taking the people of Tanzania for fools with your vile and untruthful propagandas.
 
Back
Top Bottom