Polisi ben
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 303
- 83
Chahali ni TISS, sema aliasi. Ingawa kuna usemi usemao "Ukishakula nyama ya mtu........"
Ni kawaida watu wa idara hizi duniani kote kufuatiliana, sishangai na wala haitokei kwake tu. Labda kama anatafuta public sympath
Umenena ukweli msipoteze muda kujadili hili yeye anajua vizuri chanzo cha yote hayo,anacheza na akili zenu tu anapima upepo aone ni kiasi gani anakubalika huku home anachotaka ni huruma zenu ili kuandaa mazingira yake ya baadae atakaporudi na kutaka nafasi fulani