Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Nimesikitika sana kwa tanzania tv station itv,star tv,tbc kwa kushindwa kutuonesha haya mashindano makubwa ya euro 2012.kweli ni aibu kubwa kwa vituo vyetu hata kwa kushirikiana mmeshindwa kweli?namkumbuka sana mkurugenzi wa zamani wa tbc tido,angekuwepo bado tbc kweli walalahoi tungeyaona haya mashindano.itv mengi vipi cku hizi kimya?chanel ten vipi?