Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,476
- 4,250
Hebu acheni ujinga hapa,Ebo kwenda ulaya na Marekani mnaona ni issue ya kuandika humu ama kweli hii sasa inapoteza mwelekeo,mtu ukishuka hapo chini bondeni si unapata yote yanayopatikana huko mnakoita majuu? tena issue za visa kwishney!!!nimetembea sana hiyo ulaya kuanzia miaka ya 8o, sina sehemu ambayo unaijua wewe siijui,lakini kuanzia 1995 sijawa na matamanio ya kwenda huko na i dont miss anything wallah.
Punguza jazba mkuu, huko unakoelekea siko kwenyewe...