Eti, wimbo huu unaitwaje?

Huu wimbo wa Tanzania yetu ni nchi ya Furaha.....ndo huu hapa
Mkuu thanx a lot aisee, nimeutafuta sana huu wimbo.
Huku kwetu kunasehemu kila jumapili kuna band inapiga zilipendwa, basi inabidi nimnunulie bia band master ili urudiwe kupigwa, i like da song
 
Wakuu kuna huu wimbo pia naupenda sana, nakumbuka mashairi yake tu, sina hata hakika ya title yake, nadhani uliimbwa na Bushoke wakati yuko Mlimani Park

mashairi
Penzi ni kati yake mke mume, Na hustawi kwenye Mahaba aa
Penzi ni kileo cha fikara, Wala usione ajabu nikipeeenda
Uliponikubalia tuwe mke na mume
Nilitamani Dunia isimame hata kwa sekunde moja
Ili niione nuru ya mapenzi yako
Na roho yangu iwe radhi kuwa huru
Chorus)
Penzi letu liwe moja, Lenye dhiki na faraja
Tukiishi vizuri ni Taji kwa wapendanao
Iliyobaki tusaidiane tulindiane heshima
Tuipende familia, Ndio kustawisha pendo


Kama kuna mwenye nao naomba niupate tafwazali
 
Wakuu kuna huu wimbo pia naupenda sana, nakumbuka mashairi yake tu, sina hata hakika ya title yake, nadhani uliimbwa na Bushoke wakati yuko Mlimani Park

mashairi
Penzi ni kati yake mke mume, Na hustawi kwenye Mahaba aa
Penzi ni kileo cha fikara, Wala usione ajabu nikipeeenda
Uliponikubalia tuwe mke na mume
Nilitamani Dunia isimame hata kwa sekunde moja
Ili niione nuru ya mapenzi yako
Na roho yangu iwe radhi kuwa huru
Chorus)
Penzi letu liwe moja, Lenye dhiki na faraja
Tukiishi vizuri ni Taji kwa wapendanao
Iliyobaki tusaidiane tulindiane heshima
Tuipende familia, Ndio kustawisha pendo


Kama kuna mwenye nao naomba niupate tafwazali

Jipoze na huu



http://likembe.net/Sounds/Matatizo ya Uke Wenza - DDC Mlimani Park Orchestra.mp3
 
Wakuu kuna huu wimbo pia naupenda sana, nakumbuka mashairi yake tu, sina hata hakika ya title yake, nadhani uliimbwa na Bushoke wakati yuko Mlimani Park

mashairi
Penzi ni kati yake mke mume, Na hustawi kwenye Mahaba aa
Penzi ni kileo cha fikara, Wala usione ajabu nikipeeenda
Uliponikubalia tuwe mke na mume
Nilitamani Dunia isimame hata kwa sekunde moja
Ili niione nuru ya mapenzi yako
Na roho yangu iwe radhi kuwa huru
Chorus)
Penzi letu liwe moja, Lenye dhiki na faraja
Tukiishi vizuri ni Taji kwa wapendanao
Iliyobaki tusaidiane tulindiane heshima
Tuipende familia, Ndio kustawisha pendo


Kama kuna mwenye nao naomba niupate tafwazali



Mkubwa ngoja tuingie machimbo usihofu...utapatikana tu
 
Huu wimbo wa Tanzania yetu ni nchi ya Furaha.....ndo huu hapa



Naomba kama kuna mtu aliwahi kurekodi matangazo yaliyorushwa na Redio Ujerumani wakati wa msiba wa Mwalimu Nyerere, mtangazaji akiwa Othman Miraji na Wajihi Sheikh,(huyu naye alienda wapi?) wakiwahoji baadhi ya wanazuoni maarufu nchini kama vile Prof. Issa Shivji, Prof. Haroub Othman, Prof.Mwesiga Baregu, n.k. Hii nilirekodi nikamwazima jamaa akapoteza.
Nitafurahi kupata angalau baadhi yake!
 
Wakuu huu wimbo ni wa nani?
Wazazi, wazazi nakonda na mawazo tele. Mnanilazisha kiuolewa na mimi bado ni mdogo, miaka kumi na .....
Verse. Samahani, samahani samahani baba na mama ....
Aliyeutambua auweke hapa
 
mi nafuta wimbo wa kihaya uliimbwa kwa mahadhi ya taarabu unaiwa nkurukumbi pls mwenye nao au link ninakoweza kuupaa anisaidie
 
Wimbo Unaitwa The Lion King! Na umetumika kwenye movie ya Lion King.. pia $io Wa Kizuru maana unaimbwa Kwa Kingreza...
 
mkuu jaribu kuangalia kwenye nyimbo za mariam makeba(mama africa).kuna wimbo fulani unaitwa mbube(imbube) au lion.nahisi unaweza fanikiwa.mia

Yeah hapo mia. Huo wimbo jina lake asilia ni mbube na ulitungwa miaka ya 1930s, umepigwa upya na watu wengine zaidi ya mara 280 kwa majina tofauti tofauti lakini ambayo ni maarufu zaidi ni The lions sleeps tonight au The sidewinders sleeps tonight
 
Back
Top Bottom