Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
wanajua vizuri mchungaj
Mtampoteza huyo kijana! heri yake kama naye ni muislam.
wanajua vizuri mchungaj
Mtampoteza huyo kijana! heri yake kama naye ni muislam.
ni mkristo mtu wa nyanda za juu kusin
Duuu watamfanya mbaya sana iwapo bucha tu wanashughulikia. Sasa huyu aliyefanya mke kiti moto wanaye
Kuna ndugu anatabia za ajabu, anamtindo wa kufanya mapenzi na wanyama, mara ya kwanza alibaka mbuzi,wazazi wakamsema na akawa ametulia,ivi juzi amebaka nguruwe na wazazi wameamua kumwamisha kijiji mana ni aibu,sasa tunaushauri gan mana kaka yake ni rafki yangu mkubwa.nawasilisha.
weeee!
Hii ni kweli kabisa? Eeeh?
Khaa.
Bestiality, or zoophilia as they prefer it to be called, has been around since the beginning of time. Sheep herders and farmers have often had sex with animals, but its usually joked about or regarded as something done of necessity when no women were available.
Soma zaidi hapa:
Zoophilia - Wikipedia, the free encyclopedia
Sex With Animals: A Legitimate Sexual Orientation, Or Just Weird? « Morning Quickie
Sex with Animals: A Legitimate Sexual Orientation, Or Just Weird? - DivineCaroline
Leviticus 18 (Lev 18:23: "And you shall not lie with any beast and defile yourself with it, neither shall any woman give herself to a beast to lie with it: it is a perversion." RSV) and 20:15-16 ("If a man lies with a beast, he shall be put to death; and you shall kill the beast. If a woman approaches any beast and lies with it, you shall kill the woman and the beast; they shall be put to death, their blood is upon them."
Duh!
Vipi kwani? Umetishwa na maandiko kutoka kwenye "Mambo ya Walawi"?
Au umetishwa na ukweli kuwa haya mambo yalikuwepo toka zamani? Nakumbuka miaka ya hivi karibuni kule Sudan kuna mtu alilazimshwa kuoa mbuzi baada ya kufumaniwa naye.
Miaka ya nyuma watu wa namna hii, pamoja na wanaofanya na binadamu wenzao wa jinsia moja, walikuwa wanachukuliwa kuwa ni wagonjwa wa akili. Zipo jamii zilikuwa zinawasaidia kwa ushauri, na jamii zingine zilikuwa zinawaua. Sasa hivi ETI TUMESTARAABIKA. Nchi mbalimbali wamehalalisha ushoga. Who knows, next 50 years, watahalalisha mtu kuoa au kuolewa na kitimoto au mbwa. Bahati nzuri mimi sintakuwepo kwenye dunia kama hiyo.
hapo patamu, sudani nilisikia,sasa huyu wa hapa kwetu 2namsaidiaje?
Mshauri aendelee tu maana ufalme wa Mbingu ameisha ukosa. Mnaweza kumuhasi kwa kutumia burdizzo