Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
anakula bata au mavi ya bata?
Mavi ya bata kabisa
anakula bata au mavi ya bata?
Acha afanye starehe zote, ndo muda wake huu. Namkumbuka mr. nice enzi zile na TAKEU style yake. Mnakumbuka???????
Hahaha ni kweli ndugu yangu Mr Nice mpaka kule kwetu Katavi alivuma lakini bwana kila kitabu na zama zake na kila masika na mvua zake