Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
kwa mtizamo wangu
mtu akiwa na hasira hatakiwi kuandika vitu
vinaweza kuja tumiwa against you baadae
hasa kama unayedeal naye ni mtu smart
mtu akiwa na hasira hatakiwi kuandika vitu
vinaweza kuja tumiwa against you baadae
hasa kama unayedeal naye ni mtu smart
sio mdogo wangu, ananiheshimu na kuniamini kama sister wake; l am not related to her whatsoever. Thanks nimeongea naye; na namtafuta huyo Y kwenye simu sijampata, lemme write him a long email and put a link of this uzi ili aone watz wanavyoona kitendo chake!