Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
Habari za weekend!
Nilikuwa namind business zangu, baada ya kupata upako kutoka church baada ya mahubiri ya padre mkongoman from Uvira. Nimekula ugali wangu kwa mchuzi na mtindi huku nikisurf chit chat ya JF kwa kimobile changu (Umeme haupo) ghafla screen ya Simu ikawa black na SMS ikadisplay; ikisema hivi:-
"dada shikamoo; Y kaja (place) kamuona Mdogo wangu, kasema anataka kumuoa. Sijui unanishaurije ukizingatia nilishatembea naye"
Hasira zikanipanda na siku imevurugika!
Huyo Y (ni initial la jina lake halisi) ni mbeba mabox wa marekani nafikiri anatitle ya Dr. before his name; anahangaika kwenye majukwaa kuomba msaada kwa kusema sisi ni maskini; ni limbukeni Fulani ambaye anajifanya Kiswahili hajui. Utamsikia 'unaitwa ganii?' na vitu kama hivyo.
Huyo mdada ni naive na unexperienced; alidanganywa ndoa na huyo mbeba mafile, akanchezea na kumtelekeza; sasa amepata mchumba mwingine na wanaishi vizuri tu huko (place), ni mjamzito muda huu so ikalazimu amlete mdogo wake ili amsaidie, ndio huyo Y baada ya kumuona ameamua kuwadharililisha kiasi hicho.
Kama Y umo humu, l am not happy kabisa, nitakutafuta nikupe live.
Usidharau wanawake kiasi hicho; hivyo vivolunteer unavyovileta umeshindwa kuviuzia huo upuuzi? Punguza ushamba na ulimbukeni; hujifunzi tu?
I am sorry kwa kuwachosha wana MMU; ila kaniharibia jumapili yangu!
Nilikuwa namind business zangu, baada ya kupata upako kutoka church baada ya mahubiri ya padre mkongoman from Uvira. Nimekula ugali wangu kwa mchuzi na mtindi huku nikisurf chit chat ya JF kwa kimobile changu (Umeme haupo) ghafla screen ya Simu ikawa black na SMS ikadisplay; ikisema hivi:-
"dada shikamoo; Y kaja (place) kamuona Mdogo wangu, kasema anataka kumuoa. Sijui unanishaurije ukizingatia nilishatembea naye"
Hasira zikanipanda na siku imevurugika!
Huyo Y (ni initial la jina lake halisi) ni mbeba mabox wa marekani nafikiri anatitle ya Dr. before his name; anahangaika kwenye majukwaa kuomba msaada kwa kusema sisi ni maskini; ni limbukeni Fulani ambaye anajifanya Kiswahili hajui. Utamsikia 'unaitwa ganii?' na vitu kama hivyo.
Huyo mdada ni naive na unexperienced; alidanganywa ndoa na huyo mbeba mafile, akanchezea na kumtelekeza; sasa amepata mchumba mwingine na wanaishi vizuri tu huko (place), ni mjamzito muda huu so ikalazimu amlete mdogo wake ili amsaidie, ndio huyo Y baada ya kumuona ameamua kuwadharililisha kiasi hicho.
Kama Y umo humu, l am not happy kabisa, nitakutafuta nikupe live.
Usidharau wanawake kiasi hicho; hivyo vivolunteer unavyovileta umeshindwa kuviuzia huo upuuzi? Punguza ushamba na ulimbukeni; hujifunzi tu?
I am sorry kwa kuwachosha wana MMU; ila kaniharibia jumapili yangu!