Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,827
kuongelea ngono ni lazima....na matangazo yoote hayo ya condom kama bado hutumiii basi acha kabisa usifanye....lakini ni lazima kuongelea ngono..... Wewe ni mtu mzima unajua nini naongelea........
mimi sijakataza watu kuongelea ngono na hata nikikataza neno langu sio sheria. Mimi ninachoshangaa ni watu ku support wanandoa kutokuwa waaminifu katika ndoa zao. Nadhani utakuwa umenielewa sasa.