Eti mama anayenyonyesha anaweza beba mimba kama akikutana na mwanaume kimwili?

Inawezekana kabisa kupata mimba wakati wa kunyonyesha, apime tena akiwa na wiki 8 kama walivyoshauri wengine. Kuhusu kunyonyesha akiwa na mimba nalo pia anaweza kuendelea kama ataweza kula vizuri vyakula vitakavyomletea afya bora kwa ajili yake,mtoto anayenyonya na aliyeko tumboni(hakuna kubemenda kitaalamu).Mpate ushauri toka kwa Gynacologist akienda clinic(kama kweli ni mjamzito)
 
Poa mkuu!

madex ni kweli tupu.mimi mke alikuwa haon siku zake. Mtoto akawa ananyonya.mke alikuwa anasikia tumbo linauma ila haon dalili labda presha kupanda.tulivyonunua Pt,ilionesha +ve. Hosp alivyowekwa kwenye utra sound mimba ilikuwa na 20 wiki.mwambie apime haraka
 
Anapataa tena kwa uhakika bila chenga hata me imenitokea,hata kama mtoto ana miezi nane,amwachishe kunyonya na ikiwezekana kama alikuwa analala naye mtoto aache mara moja,joto la mama kama mjamzito pia huchangia kumwathiri mtoto kama alikuwa bado hajaacha kunyonya,alafu wazazi wa mtoto mfuatilie maendeleo ya mtt mara kwa mara sababu wtt kama hao hupatwa na mshtuko hivyo huitaji uangalizi wa khali ya juu,lishe bora izingatiwe kwa usahihi,ANGALIZO ,asithubutu kujaribu kutoa hiyo mimba ikiwa ni moja ya sababu za kimaadili,pia inaweza ikamsababishia matatizo makubwa kwa kuwa viungo vya uzazi vilikuwa havijatengamaa vizuri,japo sina hakika sana lakini suala la kutozaa tena linaweza kutokea na hamuwezi jua mungu alipanga nini kwenu mimi nilishika mimba mtt wangu wa kwanza akiwa na miezi tisa lakini nilijipa moyo nikalea na kuzaa mtt.mtt wangu mkubwa alipofikisha miaka minne rafiki yangu alimchukua na mpaka sasa haieleweki alienda nae wpi hadi sasa aliko mwaka huu mwezi wa kwanza ametimiza miaka 11,na nimebakiwa na yule mtt aliyedandia njiani ndo faraja yangu,nimejaribu tu kufafanua uwezo wa mungu lakini cha muhimu avute muda akapime tena ili apate uhakika
 
Anapataa tena kwa uhakika bila chenga hata me imenitokea,hata kama mtoto ana miezi nane,amwachishe kunyonya na ikiwezekana kama alikuwa analala naye mtoto aache mara moja,joto la mama kama mjamzito pia huchangia kumwathiri mtoto kama alikuwa bado hajaacha kunyonya,alafu wazazi wa mtoto mfuatilie maendeleo ya mtt mara kwa mara sababu wtt kama hao hupatwa na mshtuko hivyo huitaji uangalizi wa khali ya juu,lishe bora izingatiwe kwa usahihi,ANGALIZO ,asithubutu kujaribu kutoa hiyo mimba ikiwa ni moja ya sababu za kimaadili,pia inaweza ikamsababishia matatizo makubwa kwa kuwa viungo vya uzazi vilikuwa havijatengamaa vizuri,japo sina hakika sana lakini suala la kutozaa tena linaweza kutokea na hamuwezi jua mungu alipanga nini kwenu mimi nilishika mimba mtt wangu wa kwanza akiwa na miezi tisa lakini nilijipa moyo nikalea na kuzaa mtt.mtt wangu mkubwa alipofikisha miaka minne rafiki yangu alimchukua na mpaka sasa haieleweki alienda nae wpi hadi sasa aliko mwaka huu mwezi wa kwanza ametimiza miaka 11,na nimebakiwa na yule mtt aliyedandia njiani ndo faraja yangu,nimejaribu tu kufafanua uwezo wa mungu lakini cha muhimu avute muda akapime tena ili apate uhakika
Nimekupata lady pepeta.
Mtoto wangu ana six months.
 
nataka nimpeleke mtoto kwa bibi yake bush,hii si poa??au mnanishauri vp???
 
Mods unganisheni ID ya Spika na mandieta,maana kajisahau alitumia ID gani,na ndio maana alipoanzisha sredi akaona haina mchangiaji ikabidi ajikomentie ili airudishe uzi kwenye new post akajisahau akaendelea kujibu kwa ID hyo hyo!!! Spika(mandieta) unatuchanganya!!
 
Kubeba mimba ukiwa unanyonyesha ni jambo la kawaida sana. mimi yamenitokea na nilikuwa nimeshaweka kinga (kitanzi ) lakini within a month mimba ilikuwa ishaingia na hata sikujua mpaka niliposikia mtoto anacheza karibu nidondoke kwenda kwenye ultra sound i was 17 weeks pregnant. ulikuwa ni mshike mshike mtoto was only 11 months meaning that i got pregnant wakati akiwa na miezi saba.

Daktari kaniambia ninaweza kuendelea kumnyonyesha mtoto bila shida yoyote lakini nilitakiwa nile balanced diet (sio mtori na uji wa ulezi) Hiyo ya kwamba usimnyonyeshe mtoto ni oldwives tale unaweza ukamnyonyesha mtoto wako mpaka wakati unaenda kujifungua na kama maziwa yako ni mengi ukaendelea kumnyonyesha hata baada ya huyo mwingine kuzaliwa.

Hapa ninaongea from experience mtoto wangu ananyonya na anaendelea kunyonya na mpaka sasa hivi sijaona shida yeyote ile kwangu au hata kwa mtoto. Afya yake inazidi kuwa nzuri kila siku.
 
Yes, very much possible kubeba mimba while lactating. Hongera ndugu, kweni hujawahi kusikia mapacha wa nje, basi ndio hizo mimba na wanakuna wana 9 to 11 months gap.

Mwambie asubiri mpaka 8 weeks atakuwa na uhakika wa kujua kama ni mimba imetinga.

Mapacha wa nje?, mbona sijaelewa vizuri hapa?, unawezaje kupata mapacha wa nje?
 
Expert Answers
Jan Barger , lactation consultant

Absolutely! There's no reason to not continue breastfeeding while you're pregnant if you want to do so. Many mothers not only*continue nursing *during pregnancy but also "tandem nurse" – that is, breastfeed both their newborn and their older child. You may worry that you won't be able to eat enough to both nourish the baby growing inside and produce enough breast milk for the nursling, but our bodies are amazing and know exactly what to do. Eating a healthy, well-balanced diet – eating when you're hungry and drinking when you're thirsty – is all that's needed. Here are some other things to be aware of as you nurse during pregnancy. All of these are perfectly normal: Your nipples and breasts may be more tender during pregnancy. Your milk supply may diminish a bit. Verbal toddlers may announce that your breast milk tastes different. Why? Because toward the end of pregnancy, breast milk changes to a colostral type of milk. (Colostrum is the thick, yellowish milk your body produces while you're pregnant and for the first few days after your baby is born.) Some moms are concerned that nipple stimulation during breastfeeding will lead to*premature labor . Nipple stimulation does trigger your body's production of the hormone oxytocin, which helps with milk letdown and also plays a role in the contractions you have during labor. Fortunately, the amount of oxytocin released isn't enough to stimulate labor under normal circumstances. The relase of oxytocin is only a concern if you're at risk for early labor and your doctor or midwife has put you on strict bedrest, with no lovemaking or breast play allowed.
 
Kubeba mimba ukiwa unanyonyesha ni jambo la kawaida sana. mimi yamenitokea na nilikuwa nimeshaweka kinga (kitanzi ) lakini within a month mimba ilikuwa ishaingia na hata sikujua mpaka niliposikia mtoto anacheza karibu nidondoke kwenda kwenye ultra sound i was 17 weeks pregnant. ulikuwa ni mshike mshike mtoto was only 11 months meaning that i got pregnant wakati akiwa na miezi saba.

Daktari kaniambia ninaweza kuendelea kumnyonyesha mtoto bila shida yoyote lakini nilitakiwa nile balanced diet (sio mtori na uji wa ulezi) Hiyo ya kwamba usimnyonyeshe mtoto ni oldwives tale unaweza ukamnyonyesha mtoto wako mpaka wakati unaenda kujifungua na kama maziwa yako ni mengi ukaendelea kumnyonyesha hata baada ya huyo mwingine kuzaliwa.

Hapa ninaongea from experience mtoto wangu ananyonya na anaendelea kunyonya na mpaka sasa hivi sijaona shida yeyote ile kwangu au hata kwa mtoto. Afya yake inazidi kuwa nzuri kila siku.
Thanks...power to the people kwa ushauri wako mzuri
 
Back
Top Bottom