Eti kujuana ni zaidi ya vyeti vyako na hela zako

Matendo Andrew

JF-Expert Member
Apr 1, 2014
748
365
Kwenye sehemu nyingi za kazi inasemekana kufahamiana ndiko kunachukua nafasi kubwa kuingiza watu kazini kuliko wanao honga hela
na wenye uzoefu na elimu kwenye kazi husika ndio hua wa mwisho kuangaliwa, kwahiyo kua kwako na vyeti vizuri uzoefu wa kutosha kusikupe kiburi, jifanye mjinga hata kwa kuwanunua ndugu maeneo ya kazi hata mlinzi pale getini ana nafasi kubwa ya kukuunganisha
kuliko ukimdharau na kusema mimi nina vyeti na uzoefu wewee utazunguka saana na vi certificate vyako kila kona holaaaaaaa!

USIKATE TAMAA CHANGAMOTO TUU HIZI

 
Kwenye sehemu nyingi za kazi inasemekana
kufahamiana ndiko kunachukua nafasi kubwa
kuingiza watu kazini kuliko wanao honga hela
na wenye uzoefu na elimu kwenye kazi husika
ndio hua wa mwisho kuangaliwa,
kwahiyo kua kwako na vyeti vizuri uzoefu
wa kutosha kusikupe kiburi, jifanye mjinga
hata kwa kuwanunua ndugu maeneo ya kazi
hata mlinzi pale getini ana nafasi kubwa ya kukuunganisha
kuliko ukimdharau na kusema mimi nina vyeti na uzoefu wewee
utazunguka saana na vi certificate vyako kila kona holaaaaaaa!

//// VIA//// USIKATE TAMAA//// CHANGAMOTO TUU HIZI///

si kweli.... MUNGU ni zaidi ya vyote bz anajua kakuandalia nini hata kabla hujazaliwa
 
nimeona nisipite bila kuacha maoni yangu kwenye huu..ukweli ni kuwa unayemjua ni zaidi ya unachokijua.kama mwaka umepita jamaa yangu tulisoma nae baba yake alikuwa BOT na ana rafiki zake wapo TRA baada ya masomo vacancies za TRA zikatoka alichokifanya ni kumwambia mzee wake.jamaa akaingia TRA kiulaini kumbe jamaa TRA alikuwa ana mwanae anataka nafasi BOT.kwaiyo pale wakafanya bater trade ndivyo ilivyo siku hizi.kama huna mjomba.shangazi.baba.mama.rafiki.ishu ni ngumu.watu wanalindana huko makazini na wengine wanarudisha fadhila.mfano baba yako alimsomesha mtoto wa baba mdogo leo amekuwa meneja wa kwanza kunufaika ni watoto wa baba yake mkubwa.ndo mambo yalivyo ndugu zangu kubli ukatae.
 
nimeona nisipite bila kuacha maoni yangu kwenye uzi huu..ukweli ni kuwa unayemjua ni zaidi ya unachokijua.kama mwaka umepita jamaa yangu tulisoma nae baba yake alikuwa BOT na ana rafiki zake wapo TRA baada ya masomo vacancies za TRA zikatoka alichokifanya ni kumwambia mzee wake.jamaa akaingia TRA kiulaini kumbe jamaa TRA alikuwa ana mwanae anataka nafasi BOT.kwaiyo pale wakafanya bater trade ndivyo ilivyo siku hizi.kama huna mjomba.shangazi.baba.mama.rafiki.ishu ni ngumu.watu wanalindana huko makazini na wengine wanarudisha fadhila.mfano baba yako alimsomesha mtoto wa baba mdogo leo amekuwa meneja wa kwanza kunufaika ni watoto wa baba yake mkubwa.ndo mambo yalivyo ndugu zangu kubli ukatae.
 
Kwenye sehemu nyingi za kazi inasemekana
kufahamiana ndiko kunachukua nafasi kubwa
kuingiza watu kazini kuliko wanao honga hela
na wenye uzoefu na elimu kwenye kazi husika
ndio hua wa mwisho kuangaliwa,
kwahiyo kua kwako na vyeti vizuri uzoefu
wa kutosha kusikupe kiburi, jifanye mjinga
hata kwa kuwanunua ndugu maeneo ya kazi
hata mlinzi pale getini ana nafasi kubwa ya kukuunganisha
kuliko ukimdharau na kusema mimi nina vyeti na uzoefu wewee
utazunguka saana na vi certificate vyako kila kona holaaaaaaa!

//// VIA//// USIKATE TAMAA//// CHANGAMOTO TUU HIZI///

nina ndugu yangu wa ukweli tena ana cheo kikubwa wala sina wasiwasi anasubiri tu michakato ya kufanya finishing ya office ikamilike ili aweze kuniunganishia na mimi kama baadhi wanavochomekwa tu makazini na wajomba zao tena ana cheo kikubwa kweli kupita vyeo vyote ulivowahi kuvisikia nae sio mwingine ni MUNGU wa haki
 
The truth has been spoken

Unasemaje Kende! Lazima nimjue mtu ndio kazi ipatikane?
Mimi mtoto wangu anamaliza kozi ya miezi 3 ya food production pale VETA je ni lazima nimjue mtu ili apate kazi hotelini, kwenye mikahawa n.k. Mbona sikuelewi. Cheti chake hakiwezi kumpatia kazi?
 
nina ndugu yangu wa ukweli tena ana cheo kikubwa wala sina wasiwasi anasubiri tu michakato ya kufanya finishing ya office ikamilike ili aweze kuniunganishia na mimi kama baadhi wanavochomekwa tu makazini na wajomba zao tena ana cheo kikubwa kweli kupita vyeo vyote ulivowahi kuvisikia nae sio mwingine ni MUNGU wa haki

Jesus, Mungu akifungua mlango hakuna hakuna atakae funga
 
nimeona nisipite bila kuacha maoni yangu kwenye uzi huu..ukweli ni kuwa unayemjua ni zaidi ya unachokijua.kama mwaka umepita jamaa yangu tulisoma nae baba yake alikuwa BOT na ana rafiki zake wapo TRA baada ya masomo vacancies za TRA zikatoka alichokifanya ni kumwambia mzee wake.jamaa akaingia TRA kiulaini kumbe jamaa TRA alikuwa ana mwanae anataka nafasi BOT.kwaiyo pale wakafanya bater trade ndivyo ilivyo siku hizi.kama huna mjomba.shangazi.baba.mama.rafiki.ishu ni ngumu.watu wanalindana huko makazini na wengine wanarudisha fadhila.mfano baba yako alimsomesha mtoto wa baba mdogo leo amekuwa meneja wa kwanza kunufaika ni watoto wa baba yake mkubwa.ndo mambo yalivyo ndugu zangu kubli ukatae.

kwan ubaya nin hapo?kama una elimu ya kukidh nafasi fanya,
 
kama mzee kanismesha ili nipate elimu ya ofisa kwani kaz ikitokea amakatazwa kuniita kuomb kaz? interview ikitokea nimo wakati hata hausik ila jina lake litanibeba,mwenye nacho ataongezewa.
 
tatizo sio kuwa na elimu ndugu yng ttz ni opportunity.kama ni elimu watu wamesoma sana na wamefaulu vzr..ttz wanaopewa kazi ni watu wengne kbs kujuana ndo mpango mzima..tafuteni referees ndo mana CV zina kipengele cha referees we unadhani ni cha nini.
 
Mim pia kuna jamaa anahtaj anfundishe kaz mwez mmoja kisha anpe kaz ya uhasib ktk shrika moja huko Mbeya,lakn pia naacha temple ambalo nlikuwa napata lak tano,nko kat kwa kat cjui mnanshaur nn wana jf.
 
tatizo sio kuwa na elimu ndugu yng ttz ni opportunity.kama ni elimu watu wamesoma sana na wamefaulu vzr..ttz wanaopewa kazi ni watu wengne kbs kujuana ndo mpango mzima..tafuteni referees ndo mana CV zina kipengele cha referees we unadhani ni cha nini.

umeona hlo?
 
tatizo sio kuwa na elimu ndugu yng ttz ni opportunity.kama ni elimu watu wamesoma sana na wamefaulu vzr..ttz wanaopewa kazi ni watu wengne kbs kujuana ndo mpango mzima..tafuteni referees ndo mana CV zina kipengele cha referees we unadhani ni cha nini.

hapo umenena neno kwa kweli
 
Back
Top Bottom