Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Mmasai na mbantu wakizaa mtoto atakuwa nini?
hawazai
Mmasai na mbantu wakizaa mtoto atakuwa nini?
hawazai
hivi wewe ni mu iraq au m mburu maana nyie hamkawii kujiita hivo.umenikumbusha luxmanda na dareda bus..saitaaaa!
hawazai
Wamasai asili yao ni Ethiopia, Wamasai, Wasudan na Wasomali ni Damu moja na Wayahudi wa Zamani sio hawa wa Sasa ambao DNA zao zimechanganyika sana na Wajerumani, Warusi, na Ullaya ya Kati na Magharibi.Wamaasai si wabantu...ni nilotics kwa hiyi kimasai sio kibantu.....kuujua ubantu VIZURI just google BANTU au bofya hapa Bantu peoples - Wikipedia, the free encyclopedia