mamkhande
Member
- Apr 12, 2011
- 45
- 19
Jamani inasikitisha sana Kuundwa kamati ya umeme kukatika uwanja wa taifa na samahani kuombwa,ila sijasikia Tanesco wala wahusika wakiomba samahani kwa watanzia ambao umeme kwao imekuwa ni ndoto, vipimo operation kwenye hosptal hakuna ukiuliza umeme hakuna kila sehemu ya nchii hii imezungukwa na giza wala ufumbuzi hakuna alafu wanahimiza watu washerehekee miaka hamsini ya uhuru???HIVI HWA VIONGOZI NA RAISI WAO HAWAONI AIBU C WANATOKA LAKINI KWENDA NCHI ZA JIRANI HAWAONI MAENDELEO AMA HAWANA WIVU WA MAENDELEO?Internationa airport umeme unakatika hii si aibu?