nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Jamani wapendwa,nipo nawaza na kuwazva hv wanajesh hawapo ktk kundi la watu ama?sikumbuki kama ktk milipuko ya mabomu ya mbgala kama walitaja ni wanajesh wangapi walifariki au wanajeshi si watu?kubwa kuliko ni hl la gongo la mboto nimesoma ktk gazeti eti mwanajeshi mmoja wa kike ndo amekufa ktk ile milipuko hv hao wanajesh si watu au ni mie ndo sisikii idadi yao.
Wanajf anayejua idadi kamili please anijuze?
Wanajf anayejua idadi kamili please anijuze?