Hahahaha si unajua kama kazin ndo ulkuwa ww n ww sasa ili swala la vyet fake lazma ukodoe macho kiwiz wizHa ha ha yamekukuta nini..? maana hakuna hata ubishi "ndio n kweli"
Mkuu hujasikia kuna wanafunzi hewa,mishahara hewa,wafanyakazi hewa n.kDah.....nimecheka kweli....hivi hili suala la vyeti 'feki', how serious is it....yaani kila ukienda vyeti 'feki' ndio wimbo....mnataka kuniambia kila mahali kuna watu wenye vyeti 'feki'??????????????
View attachment 422898
Wakimuwaza Mr. Sijaribiwi na ashasema
"Msini~drive drive".View attachment 422901
Mkuu hujasikia kuna wanafunzi hewa,mishahara hewa,wafanyakazi hewa n.k
hilo la vyeti bado linaendelea pamoja na hili la hewa
Ndo hivyo tena hii inaonyesha uozo uliokuwepo lkn pia lzm serikali iwe makini inaweza kuwa inajipiga dozi ya kulevya yenyewe maana kuna kukosekana tena kwa walimu au wafanyakaziDah.....nimesikia Ndugu yangu....Leo nilikuwa nazungumza na rafiki yangu mmoja akaniambia kuwa hata profession ya ualimu imeingiliwa kwa kiwango kikubwa kwani huenda shule nyingi za serikali zikakosa waalimu ghafula kwani eti wako wanaoacha kazi wenyewe kutokana na suala la 'vyeti 'feki'......dah.....