Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Wakuu nilimwona huyu jamaa TBC akijitetea na kukataa kujiuzulu unaibu Meya wa Arusha nikashangaa kweli kweli. Maswali hakaja mengi mengi kihivi.
1. Hivi huo udiwani si aliupata kwa sababu alipitishwa na chama chake?
2.Hivi kamati kuu ya chama ikitoa maamuzi kama ilivyofanya CDM , namna ya kupingana na uamuzi huo ni kujipeleka TBC?
3. Hivi kama hawezi kutii maamuzi ya Kamati kuu leo , atamtii nani?
4. Kama hakupokea rushwa , kwa nini anakataa kujiuzulu wadhifa huo wa kupewa na Magamba?
5. Hivi Mala na wenzake wamebariki upuuzi wa CCM wa kuwapeleka Viongozi wakuu wa CDM mahakamani kwa kisingizio cha maandamano?
6. Hivi Mala anajua maana halisi ya udiwani au ndio wale wale wasiojua Chain of commands kama akina Ngeleja ?
Namshangaa Malla wa CDM arusha.
Naunga mkono hoja ya CDM . They should step down because the party did not authorise the so called MUAFAKA. Period
1. Hivi huo udiwani si aliupata kwa sababu alipitishwa na chama chake?
2.Hivi kamati kuu ya chama ikitoa maamuzi kama ilivyofanya CDM , namna ya kupingana na uamuzi huo ni kujipeleka TBC?
3. Hivi kama hawezi kutii maamuzi ya Kamati kuu leo , atamtii nani?
4. Kama hakupokea rushwa , kwa nini anakataa kujiuzulu wadhifa huo wa kupewa na Magamba?
5. Hivi Mala na wenzake wamebariki upuuzi wa CCM wa kuwapeleka Viongozi wakuu wa CDM mahakamani kwa kisingizio cha maandamano?
6. Hivi Mala anajua maana halisi ya udiwani au ndio wale wale wasiojua Chain of commands kama akina Ngeleja ?
Namshangaa Malla wa CDM arusha.
Naunga mkono hoja ya CDM . They should step down because the party did not authorise the so called MUAFAKA. Period