mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA kafika Jimbo la Bunda Esther Bulaya amewekwa mahabusu baada ya kutukana Mkuu wa kituo (OCS) kwa sababu ya kuwakamata vijana wa CHADEMA waliomfanyia fujo mke wa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM Bunda mjini na kujeruhi watu wengine hadi kulazwa hospitalini.