Establishment of the Islamic court-Mtikila

Status
Not open for further replies.
Nakumbuka nilikuwa mmoja wa watu tuliopinga sana kuanzishwa kwa hii mahakama. Huko Kenya sasa hivi wanapigania iingizwe kwenye katiba. Fine. Hata sisi nadhani umefika wakati wa kuingiza hili jambo kwenye katiba na katiba ieleze vizuri kabisa kwamba mtu yoyote anayetaka kuhukumiwa na mahakama hiyo inatakiwa a-sign paper fulani kwamba anakubali kuhukumiwa na mahakama hiyo mpaka mauti yatakapomkuta. Nadhani hizi kelele zitakwesha na serikali itoe hela za kusaidia kutekeleza hukumu hizo na zaidi zaidi itoe upendeleo kwa wanawake wanaohukumiwa, double the money au siyo mzee mkandara? Na mafisadi wakukumiwe na hiyo mahakama bila kujali kama wame sign hizo paper au la. Kwa ndugu zangu wakristo nitarudi siku moja kuwaelezea ukristo na sheria/mahakama, kwa kifupi tu haya ni mambo yasiyowahusu.
 
Mhhhhh! kusema kweli hapa nimepotea zaidi isipokuwa kuna points fulani zinanipa haja ya kuunga mkono kuwepo kwa cort ya kadhi.
Hii ikiwa na maana kwamba ikiwa waislaam hufunga ndoa zao ktk misingi ya kiislaam na hakuna sheria yoyote ya ndoa inayofuata dini hii basi kuna tatizo kwa waislaam. Wakristu nadhani sheria zetu za ndoa zimejengwa kwa kutazama ustaarabu wao zaidi lakini kabla ya yote haya ni kipi hasa ktk ndoa ya kiislaam ambacho kinaleta utata zaidi maanake kuna hizi sheria za kiarabu ambazo pia zimechotwa kuwa Uislaam. Kwa hiyo tuwe makini zaidi ktk kuelewa chanzo hasa cha hawa waislaam wanaodai sheria law ktk ndoa na mirathi.

Binafsi mambo haya mawili yana utata ktk sheria zote duniani na hakuna sheria inayoweza kuwa na haki zaidi kwa wahusika maanake tunaishi nje kabisa ya misingi ya dini na matakwa yake.
Nimesoma mahala panasema Kenya na Uganda bado wanatumia korti za kadhi ktk migogoro na korti hizi zimeanzishwa mapema sana baada tu ya Uhuru wao, lakini bado sioni kama huu ni mfano mzuri kulingana na tamaduni zetu. Nachotaka kujua ni sababu hasa iliyopungua ktk sheria zetu ambayo waislaam wanapenda itumike ktk ndoa na mirathi. Kesho utakuja sikia hata sisi tuliofunga ndoa kienyeji tutapenda korti zetu za wazee wa baraza za kimakabila kuwa waamuzi wa maswala yetu.
Ni upumbavu mkubwa kuingiza Zanzibar ktk swala la bara kwani hizi ni nchi mbili zilizoungana kama ndoa tunayoizungumzia. Kuna mambo ya wanaume na mengine ya kike.. Tusiombe damu ya hedhi wakati sisi wanaume jamani!
 
Mahakama ya Kadhi Constructional Amendment in Sukumaland

Let us have freedom of worship. Let people be allowed to set up structures which enable them to manage their worship effectively and within the law of the country.

Let us not set up micro governments to govern peoples of a certain worship group according to laws based on their religious beliefs. If we do we will have a very complex federal government whose ideal structure would be that every definable society should have their own geographic area which can be governed according to laws and rules based on their faith.

Let's take a sample, Sukumas. This consists of two principal groups. Un adulterated Sukumas, that is those who are pure Sukumas, no education, no new religion such as Islam, Christianity, Buddhism, etc. Of course they believe in god that is why they called him "Mulungu". They believe in witchcraftry, which the Christians also do, but they differ in how to deal with it. The un adulterated Sukumas believe in instant justice; killing the red eyed old women witches. The adulterated Sukumas who are Sukumas converted to Christianity have a way of dealing with witch-craftry, they call it spiritual warfare, they have spiritual weapons which can deal with any power of witchcraftry. They use the name of Jesus and they send the evil spirit running ultra Olympic style. In Christian terminology they have authority over all evil powers and nothing is supposed to harm them.

For each of these two principal groups to live peacefully each administering their laws, rules and regulations according to their faiths, Sukumaland would have to be divided into two areas one for Sukumapure, and Sukumachrist.

But hardly each group would have moved into their area would they realise a problem; in these two areas there would be, alas, though not so many, some Moslems and some Buddhists. So some areas would have to be created for these and any other similar groups to be settled into.

But there would be further complications. Firstly the Sukumapure would realise that they themselves have different denominations also; the bagika, bagalu, bazwilili, bachweji, etc. Each would have to live in their own sub district to be able to administer their laws effectively.

Suckumachrist would face a similar problem. Groupings would differ in doctrine and they would like not only to worship differently but also govern themselves accordingly.

So there would be the SDA area where meat of animals whose hooves are not split and fish without scales would not touch the markets. Also cars, cookers, fridges, air conditioners, trains, aircrafts, heart pacemakers etc would be programmed not work on Sabbath (known as Saturday in Tanzania). All hospitals would be closed because healing is not supposed to be done on Sabbath.

Then in Sukumachrist you would have the Protestants. Many of them are not supposed to drink, smoke, use snuff, etc. Priests have to be married as a rule.

The job of creating the districts and tarafas and katas and vijijis is really complicated in this new constitution. In Protestantsshire you would have the mainliners, i.e. the Moravians, Anglicans, Methodists, Lutherans. Actually although these could co exist in an area called CCT it would be better that each would be in their own sub district .

Then you would have the Charismatics, groupings in this areas have very subtle differences, amazingly these may not need only distinct areas; each area may have to be fenced.

Time up to describe Protestansshire. Then there would also be the Catholicshire. This is an area where priests are not allowed to marry but can mingle with women at will. Liquor can be absorbed in any quantities provide it does not show. Please confirm the following with the nearest Paroko otherwise treat it as hear say: if you are rich and are not living right to the mark and die and get consigned to pulgatory, some district in hell, your relatives can incur the cost of a mass in which you can be prayed out of hell. In Charismaticshire you would qualify persona non grataship if you were caught praying for salvation of the dead.

Tired of Sukumapure and Sukumachrist? Sample the Sukumaslamic. Here you would find quite some diversity of laws. Start with the really marketable ones. You can marry a reasonable number of wives. Difficult part about this is you would be required to treat them impartially. Consolation though is that partiality is not punishable here on earth. Something also pleasant in the marriage set of laws is that you can divorce any time provided you have pen and paper at your disposal.

Now the more serious laws of the Sukumaslamic. An eye for an eye, a tooth for a tooth. Difficult to imagine the sub section of the law which prescribes appropriate punishment for the lady who tempers with a man's generator; Kadhi wouldn't be the job for me.

If you consulted chronicles or Hon retired president Mwinyi on Moslems in Bukoba, I suspect he would strongly advise that even Sukumaslamic should be divided into at least two sub areas.

A very interesting subject under the sun is marketing. I have evidence it is like electricity, it can be switched on and off. You cannot understand until you visit the tiny districts of Buddhashire and Hindushire in restructured Sukumaland. The people here are serious business men. They can market anything and they can enter into any business and succeed. If the restructured Sukumaland will allow intershire trade Buddhashire and Hindushire will be manufacturing and supplying most of these areas. But I doubt if the laws will permit. Even high marketing skills may not succeed under this regime. This will not be the first time though when marketing skills could not be exploited in existing Sukumaland by these groups. They have been so poor at marketing their religion to anybody to the extent that people have come to believe that in this sector marketing has been banned or switched off like electricity.

Because other people are not evangelised into these sects and therefore cannot report openly proceedings of these societies, people have come up with all sorts of unbelievable stories which one can only print to demonstrate how unbelievable they are. You cannot believe this can you? That a girl from these communities gets deported from under the sun should she conceive foreignly. I am not a lawyer by the way, but the approximate absolute absence of mixed marriages with these sects in current Sukumaland is not legal evidence of anything, I should caution!

By the way, if you are close to President Karume, I advise you chat with him. One of his regrets may be that his Oldman was made to leave too early, otherwise President Karume may perhaps by now have in his family a mixed marriage.

Under these circumstances if Sukumaland will remain a unit it will have to have an overall federal government so that all these districts are governed together as a unit.

Of course there may be a grouping which will be happy to adopt federal laws only. Such a group will have also to be allocated a district too.

This is far from the whole treatise on the issue, but considering it is the small hours of the morning and I need to turn in I should stop by observing as follows:

In the olden times there was the Sukumaland Federation which consisted of nine chiefdoms. Its seat was initially at Usagara some 18 km from Mwanza on the way to Shinyanga. Later this was shifted to Malya. I believe the current District Council there is housed in the old federation premises. It was headed by a Paramount Chief, the last Paramount Chief being Majebele. This Federation was not without problems. Will federating the above areas under the restructured Sukumaland pursuant to Mahakama ya Kadhi Constructional Amendment which will give equal rights to every society to govern themselves according to laws based on their religious beliefs be easy?
 
Mkandara,
Kwanza nadhani kama wewe ni mkristo kama ulivyoandika hapo juu basi hujaujua vizuri ukristo. Hakuna kitu kama hicho kwenye ukristo sheria za ndoa.
Pili, napend kukupongeza kwa ujasiri wako wa kuvalia njuga hili jambo. Nakubaliana na wewe kwamba Sharia siyo Islamic law. Hii system imetokana na some arabic traditions, koran, na sunna. Muslims are not bound by sharia kama hawaishi kwenye jamii ya isiyofuta sharia. Sasa tuambiane umuhimu wa sharia unatoka wapi.Lakini kama nilivyosema hapo juu, mtoto akililia wembe mpe. Mkandara hebu nieleweshe ni kipengele gani cha koran kimesema female circumcision is required for both men and women?
 
Tatizo si idadi ya Waislamu Tanzania,tatizo ni sheria ndani ya katiba ya Tanzania.

Hizo serikali za Uganda na Kenya sijajua kama katiba za nchi zao zinasema serikali zao hazina dini.

Huko Zanzibar kinadharia serikali ni ya kiislamu, kwa mfano mtu akikutwa anakata Bondo wakati wa Mfungo wa Ramadhani ni Nongwa kweli kweli wakati huku Bara kukazia Swaumu wakati wa mfungo ni kheri tupu.

Ninyi kama mnataka Mahakama ya Kadhi anzisheni tu lakini msiingize udini kwenye katiba yetu tukufu isiyifungamana na dini yeyote duniani.

Kama mnataka pochi ya kuendesha hizo mahakama zenu za kadhi pigeni harambee tutawachangia tu.

Nafikiri swala si Katiba bali swala ni utashi wa baadhi ya wananchi kwasababu katiba inasema serikali haina dini Lakini kila mtanzania anaruhusiwa kuabudu chochote ili mradi havunji sheria.Sasa Mahakama ya kadhi ina umuhimu wake kwa wale wanaojiita waislamu ni muhimu kwa ukamilifu wa kuitwa muislamu hasa linapokuja swala la miradhi na ndoa,Sasa kama serikali kupitia katiba yake ina amini wananchi wana haki ya kuabudu kile wanachotaka kuabudu sioni kwanini wasiruhusu na kusimamia kuhakikisha haingilii sheria za Nchi na Katiba,Na kutoa uhuru kwa waumini wa dini hiyo kujichagulia kama wanataka wahukumiwe kwa kadhi au mahakama za serikali bila ya kuleta muingiliano wa kisheria na uvunjifu wa katiba.Hili Linawezekana kabisa kwani Kenya,Uganda,sehemu moja ya nchi yaani Zanzibar zipo na hata Tanganyika tulikuwa nayo kabla ya kuvunjwa,na hazijawahi kupingana na sheria mama za nchi.Swala la katiba inaruhusu au hairuhusu si la msingi kwani hizo sheria zilitungwa na katiba pia ilitungwa na ndiyo maaana kila kukicha tunajionea mabadiliko ya sheria na katiba, sasa kama hilo linawezekana kwa mambosheria nyingine au ibara nyingine za katiba, kwanini lisiwezekane kwenye hili.Swala ni Kama tunaona waislamu litawasaidia na wanalihitaji kwanini tusilitafutie nafasi ktk katiba yetu kama halipo na ktk sheria zetu kwa kuliongoza kwa mujibu wa sheria na litambulike ni sehemu ya sheria zetu na zinawalenga waislamu tu tena wale wanaokubaliwa kuhukumiwa nazo.
 
Kenya wana matatizo makubwa sana na hiyo mahakama kwa sasa kuna kundi linataka hayo mambo yawe kwenye katiba ya nchi yao. Watu lazima muelewe hiyo mahakama huwa inafuata sharia na sharia siyo Islamic law. Ni kama ilivyo vatican, wa-catholic wakisema wanataka sheria za vatican zitumike bongo kama mahakama ya kikristo si watakuwa wendawazimu? Kama nilivyoeleza hapo juu kama waislamu wameamua kufuata sharia basi kuwe hakuna kigeugeu, sharia ifuate mkondo wake mara moja.
 
Mtumbwi wa Pwani: Naomba nikuulize swali: Nchi za kiarabu kama vile iran, UAE, etc.hazina mabalozi wao hapa? vp wa vatcan asiwepo? Hoja zingine bwana!
 
Kenya wana matatizo makubwa sana na hiyo mahakama kwa sasa kuna kundi linataka hayo mambo yawe kwenye katiba ya nchi yao. Watu lazima muelewe hiyo mahakama huwa inafuata sharia na sharia siyo Islamic law. Ni kama ilivyo vatican, wa-catholic wakisema wanataka sheria za vatican zitumike bongo kama mahakama ya kikristo si watakuwa wendawazimu? Kama nilivyoeleza hapo juu kama waislamu wameamua kufuata sharia basi kuwe hakuna kigeugeu, sharia ifuate mkondo wake mara moja.
Ni nini tofauti ya sharia na Islamic Law?
 
kwa ufahamu wangu, mahakama ya kadhi zanzibar haina mamlaka sawa na mahakama ya serikali.

mahakama ya kadhi inatumika sana kwenye mambo ya ndoa na mirathi, na mahakama hii haitoi hukumu kwa wanandoa ambao ni wa dini tofauti, au hawakufunga ndoa kiislam.

kwa mtazamo wangu, mahakama ya kadhi inatoa huduma kwa yule ambae anataka kupewa huduma na mahakama hiyo, na sio kwa kila mtu au kila muislam......nikimaanisha pia kuwa ukiwa muislam huna ulazima wa kuwa uhukumiwe kwa sheria za mahakama hiyo.
 
kwa ufahamu wangu, mahakama ya kadhi zanzibar haina mamlaka sawa na mahakama ya serikali.

mahakama ya kadhi inatumika sana kwenye mambo ya ndoa na mirathi, na mahakama hii haitoi hukumu kwa wanandoa ambao ni wa dini tofauti, au hawakufunga ndoa kiislam.

kwa mtazamo wangu, mahakama ya kadhi inatoa huduma kwa yule ambae anataka kupewa huduma na mahakama hiyo, na sio kwa kila mtu au kila muislam......nikimaanisha pia kuwa ukiwa muislam huna ulazima wa kuwa uhukumiwe kwa sheria za mahakama hiyo.

BINAFSI sielewi vyema hii mahakama ya kadhi, kama inatoa huduma tu kwa waislamu tena wachache tu wanao penda, kwanini ilihangaishe taifa kuianzisha kumbe ni kwa jili ya watu wachache tu tu wale wanao penda?

Mbona pia sioni kama itakuwa haki kodi zetu wote ziendeshe mahakama ambazo ni za kundi dogo tena linalo chagua?

Vipi ikitokea kwamba bilioni zimeisha tumika kuanzisha, na kwa vile ni kwa muislamu tu, tena anaye ihari wasiewepo watakao ihari kwenda huko?

Hapo naona kiasia asia tu, kwamba badala yafanyike mambo ya maendeleo tena yanayo gusa watu wote, kodi zielekee kuanzisha mahakama za watu wachache tena watakao jisikia tu!
 
kwa hiyo kodi kutumika kwa mambo ya kislam ni kuwaste? achebni udini.
kuwepo mahakama ya kadhi ni suala lisiloweza kuepukika ikiwa kweli nchi inafata utawala bora na kuheshimu haki za raia wake.
 
Kama Dhima ya kuanzishwa kwa mahakama ya kadhi nchini ni kuwawezesha waislamu watakaopenda kuitumia kutatua matatizo ya mirathi, talaka nk. kuna ubaya gani kwa watu wasio kuwa waislamu ambao mfumo wa sheria uliopo ni wa kimagharibi zaidi unaokwenda sanjari na matakwa yao ya kiimani?
 
mimi kimsingi sioni ni kwanini mahakama hii iwe chini ya katiba ya na ihudumiwe na serikali wakati itahudumia tu aina fulani tu ya watu wa imani fulani. Mimi ni mkristo kodi yangu itumike kumlipa kadhi ambaye kwa namna yoyote haitatokea anipe huduma yoyote yafaa nini? Kama waisilamu wanamtaka kadhi basi wawe tayari kubeba gharama zake kama wanavyobeba za mashehk na viongozi wao wengine. wafanye mambo yao ya kimahakama ndani kwa ndani huko huko misikitini, yakiwashinda basi waje kwenye sheria za kawaida za kiserikali maana dini imeshindwa. Lakini sio watake kuchomekea mambo yao ya kidini ndani ya serikali hilo NOooooo
 
kwa hiyo kodi kutumika kwa mambo ya kislam ni kuwaste? achebni udini.
kuwepo mahakama ya kadhi ni suala lisiloweza kuepukika ikiwa kweli nchi inafata utawala bora na kuheshimu haki za raia wake.

nadhani hapo wewe mwenyewe unaona wazi kabisa kwamba siyo sawa kabisa kulingana na katiba ya nchi yetu serikali haina dini!

Sasa serikali isiyo na dini iweje itake kutumia kodi zetu kwa ajili ya mahakama specially ya dini fulani?? Hivi huoni mkanganyo huo?

Nadhani kama wengine walivo shauri hizo mahakama kama ni muhimu waislamu wazianzishe wenyewe kwa garama zao lakini si kutaka kutubebesha mzigo walipa kodi wote! yaani zisiwe na uhusiano na kuhudimiwa na serikali kwa kodi zetu!
 
Mambo matatu ya haraka haraka:

a. Sheria hiyo ya mahakama itawahusu waislamu tu na ni wale tu ambao watataka kutatua masuala yao ya mirathi na ndoa kwa mujibu wa sheria ya kiislamu. HIvyo hata waislamu watakaotaka masuala yao yaamuliwe na sheria za nchi zisizo za kidini basi hawatalazimika kwenda kwa kadhi.

b. Mahakama ya Kadhi haitaangalia mambo mengine isipokuwa hayo mawili tu, Ndoa na Mirathi. Hata hivyo sina uhakika ni nini kitazuia kuongeza masuala mengine madogo madogo kama wizi wa kuku n.k

c. Endapo itaanzishwa kwa sheria ya Bunge mahakama hiyo itatengewa bajeti ya makadhi, ofisi zao, na wanasheria wao kutoka bajeti ya wizara ya Sheria (au Wizara itakayokuwa na dhamana ya Mahakama.

d. Hata hivyo Waislamu hawakatazwi mahali popote kujianzishia mahakama yao wao wenyewe na kuigharimia, lakini hofu yao (at least baadhi yao) ni kuwa pasipo kibali cha Bunge wanaweza kujikuta matatani.

Kwani nini hiyo mahakama ya kadhi iwe selective kwenye mambo ya ndo na mirathi tu? huoni kama hapo pana mapungufu na nia yake si nzuri?
Sheria iliyo bora ni ile iliyo endelevu, kwa mfano katika maisha ya sasa, Mume akifa , ni Bora Mali ishikiliwe na nani kwa faida ya watoto?
Mwizi akitaka kuiba je atishiwe na adhabu gani ili aache kuiba? au tuwe na mfumo gani wa maisha ambayo yata dhibiti wizi? na uadilifu mwingine?
Na hapa Juzi Juzi niliona article ya waziri moja wa serekali ya Zanzibar akipinga Adhabu ya kifo, je huyu Si Muislamu?
 
mahakama ya KADHI itaimprove nini katika maisha ya waislam au ni ushabiki tuu na udini? kwani sheria zilizopo hazitoshi? wasije wakaleta mambo ya kupigwa mawe na kukatwa mikono tuu ....sijui kwa nini wana discuss hii kitu? TZ ni nchi ya katiba tuliyojiandikia siyo Quran au Bible.
 
Kutuambia kuwa mahakama hiyo itakuwa inahusika na masuala ya ndoa na mirathi pekee ni utoto na upumbavu wa hali ya juu. Ikumbukwe kuwa tafsiri ya ya mahakama hiyo ipo ndani ya misahafu, kauli ya kuwa ni ya mirathi na ndoa wameipata wapi?
 
Hata utukane,Umdhalilishe huyo pope wa wenyewe.. kwani siyo kila asiye muislamu ni mkatoliki na siyo kila mkristu anauhusiano na pope! na siyo kila asiye muislamu ni mkristu !

Ukweli bado ukopale pale hatutaki kodi zetu zitumike kulipia/kuendesha mahakama ya kidini! nchi yetu siyo ya kiislam period!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom