Hata sasa hana makosa, fool. Kwa mujibu wa sheria zetu, mtu hawezi kuwa na makosa mpaka athibitishwe na mahakama. Sasa wewe umekuwa mahakama?Mashtaka ya mtu siyo kama sehemu nyeti ati! Mlikuwa mnapiga kelele kila siku hana makosa na kama ana makosa mbona hayawekwi wazi! Yamewekwa wazi sasa unahamisha tena goli!