Mtanzania1
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 1,168
- 167
huyu jamaa haitakii vyema jamii yetu.....magazeti yake yanawatia ujinga jamii lakini yeye hajali anachojali ni pesa tu......haina tofauti na unga
shigongo huyu?
Anayeharibu vijana wetukwa magazeti yake yaliyojaa udaku na ngono?
Hapo chadema kitakuwa kimekosa dira....