Equatorial Guinee wameweza... Sisi tulishindwaje?

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,288
Niko huku kwa siku kadhaa kwa ajili ya AFCON (wakati mwingine Gabon)
Tukiacha yoote mengine, kuna kitu nimekinote cha tofauti, kama sisi, wao wana bara na visiwani (Rio Muni na Bioko) ingawa sijui kama nako kuna muungano kama huku kwetu.
Nilichoona ni kuwa wenzetu mji wao mkuu, Malabo uko kisiwani Bioko, ambako kijoografia ni padogo kuliko Rio Muni.
I wonder kwanini wakati serikali yetu inahamisha makao makuu back in time isingehamishia Unguja badala ya Dodoma?

Gonga: Map of Equatorial Guinea - Equatorial Guinea Map and Information, Africa Maps - World Atlas.com
 
Niko huku kwa siku kadhaa kwa ajili ya AFCON (wakati mwingine Gabon)
Tukiacha yoote mengine, kuna kitu nimekinote cha tofauti, kama sisi, wao wana bara na visiwani (Rio Muni na Bioko) ingawa sijui kama nako kuna muungano kama huku kwetu.
Nilichoona ni kuwa wenzetu mji wao mkuu, Malabo uko kisiwani Bioko, ambako kijoografia ni padogo kuliko Rio Muni.
I wonder kwanini wakati serikali yetu inahamisha makao makuu back in time isingehamishia Unguja badala ya Dodoma?

Gonga: Map of Equatorial Guinea - Equatorial Guinea Map and Information, Africa Maps - World Atlas.com

Hoja ni nini hapa?
 
Niko huku kwa siku kadhaa kwa ajili ya AFCON (wakati mwingine Gabon)
Tukiacha yoote mengine, kuna kitu nimekinote cha tofauti, kama sisi, wao wana bara na visiwani (Rio Muni na Bioko) ingawa sijui kama nako kuna muungano kama huku kwetu.
Nilichoona ni kuwa wenzetu mji wao mkuu, Malabo uko kisiwani Bioko, ambako kijoografia ni padogo kuliko Rio Muni.
I wonder kwanini wakati serikali yetu inahamisha makao makuu back in time isingehamishia Unguja badala ya Dodoma?

Gonga: Map of Equatorial Guinea - Equatorial Guinea Map and Information, Africa Maps - World Atlas.com
unawatafuta WAZENJ wewe shauri yako, hatimaye watasema Tanganyika imeamua kutumeza rasmi mara watakapoona serikali inaporomosha majengo ya kufa mtu huko Zenj. watalalamika hao
 
Hoja ni nini hapa?

Hoja ni kuwa makao makuu ya serikali ya muungano yangeweza kupelekwa Unguja na kisiharibike kitu,
tena tukaondoa hii dhana ya Wazanzibar kuwa Serikali ya JMT ni kwa ajili ya watu wa bara.
 
unawatafuta WAZENJ wewe shauri yako, hatimaye watasema Tanganyika imeamua kutumeza rasmi mara watakapoona serikali inaporomosha majengo ya kufa mtu huko Zenj. watalalamika hao

Sasa hayo majengo si yangekuwa ya serikali yao?
 
Republica de Guinea Ecuatorial sio jamhuri ya muungano ........wala haina mfumo wa majimbo ama sirikisho,huo mji mkuu ulijengwa na wahispania enzi za ukoloni na unatumika mpaka leo.
nisalimie Teodoro Obiang Nguema.
 
Republica de Guinea Ecuatorial sio jamhuri ya muungano ........wala haina mfumo wa majimbo ama sirikisho,huo mji mkuu ulijengwa na wahispania enzi za ukoloni na unatumika mpaka leo.
nisalimie Teodoro Obiang Nguema.

kumbe?
Kwa hiyo wale ni kitu kimoja tangu pale.
Nimesikia jina lingine la kisiwa cha Bioko ni Fernando Po.
Wenyeji wangu wameniambia huyo mtoto wa Nguema ni fisadi ile mbaya, pia ni waziri kwenye serikali ya babake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom