security
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 322
- 75
Mimi niliwahi kufumaniwa siku hio sintoisahau. nilikuwa nacheki mechi kati ya arsenal na baca mwaka jana siku ambayo the guners walitimuliwa kwenye mashindano ya uefa. nimepozi kwa jamaa yangu nacheki mechi hio nikiwa mimi na mke wake. mala jamaa akarudi akiwa tungi. akacheki mechi kidogo kisha akaenda kulala nikabaki na mke wake akiwa anatengeneza maandazi. mechi iliisha saa saba usiku. huku nikiwa na hasira ya kufungwa na baca nika mwomba shemeji tuzunguke bafuni kama kawa. kumbe arobaini yangu ilikuwa imefika siku hio. nikiwa naendelea kula vya watu kumbe jamaa aliamka akaona sebulen hakuna mtu imebaki tv na wachambuzi wa soka. akatoka mpaka nje hakuna m2 akazunguka uani karibu na bafu akasikia sauti. akatoka kwenda kushtua watu ili waje washuhudie. hakufika mlangoni mwanaume nafungua mlango natoka. jamaa akaniuliza natoka wapi, mimi mdomo mzito. akaingia bafuni akamkuta mkewe anavaa. ile kutoka mwanaume nimeanzisha ligi ila niliweza kusikia huyu mwanamke uondoke naye. siku hio sikulala kabisa nikawa nasubiri hodi. mala kumekucha. asubuhi nikapanda basi kwenda iringa mpaka leo niko huku. huyo bishanga asiombe akutwe na mwenye mali. poleni na tamthilia ya maododo.