Enzi za Mkapa mishahara ilitoka mapema

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Kipindi cha Mkapa mishahara ilitoka tar 24. Serikali ya JK inachelewesha sana. Kwa mfano hadi leo hatujapata mishahara. Nilidhani ni sisi tu lakini leo nilikuwa udsm nikaona tangazo pale utawala kuwa hadi jana cheque haikuwa imefika kutoka hazina hivyo jtatu watafuatilia. We should admit that we have a very weak govt in power. hata mishahara?
 
Misharaha imekopwa hiyo, kulipia ghalama za mawaziri hotelini
lakini pia kumbuka kwa sasa chama chama magamba hakina mdhamini ,
waliokuwepo wanawaita magamba
kipindi cha mkapa mishahara ilitoka tar 24. Serikali ya jk inachelewesha sana. Kwa mfano hadi leo hatujapata mishahara. Nilidhani ni sisi tu lakini leo nilikuwa udsm nikaona tangazo pale utawala kuwa hadi jana cheque haikuwa imefika kutoka hazina hivyo jtatu watafuatilia. We should admit that we have a very weak govt in power. Hata mishahara?
 
Mkuu acha tu, halafu eti kesho tukasheherekee mei mosi wakati hakuna mishahara!!!! yaaani tabu maana wengine akiba tulikula pasaka..
 
lakini pia hii hoja yako imekaa kidini duh
hahahahahahaha wewe subiri waje vilaza wa JK tu utasikia laana zao
maana siku hizi ukisema kitu kuhusu SERIKALI unakuwa mdini sasa na
shindwa kuelewa hii serikali ni dhehebu
Kipindi cha Mkapa mishahara ilitoka tar 24. Serikali ya JK inachelewesha sana. Kwa mfano hadi leo hatujapata mishahara. Nilidhani ni sisi tu lakini leo nilikuwa udsm nikaona tangazo pale utawala kuwa hadi jana cheque haikuwa imefika kutoka hazina hivyo jtatu watafuatilia. We should admit that we have a very weak govt in power. hata mishahara?
 
Mgaya alipotangaza mgomo wa wafanyakaz,akatokea mbayuwayu,changanya na zenu&sizitaki kura zenu.i direct my question to you all,je mlichanganya mkapata nn? Mgaya kip kilimkuta? Kima chin 315000,kilishindikana?
 
Kwa mtazamo wangu mlengo wa kati ni kwamba, kama mshahara inatoka kabla ya mwezi kumalizika ni makosa, na nashangaa tathmni ya utengaji, mahudhurio, na mengine yalifanywa lini na hivyo wafanyakazi walipwe tarehe ya mwisho ya mwezi. Ingekuwa sahihi mishahara ingekuwa inalipwa wiki ya kwanza mwishoni au wiki ya pili. Kwa maneno mengine mishahara inalipwa kienyeji bila tathmni sahihi.

Ndio maana wawekezaji wanapolipa mishahara baada ya tathmini ya riport ya mahudhuria kazini wanaambiwa wanachelewesha mishahara kumbe ni sababu ya kutojua na tumezoea mfumo wa kijima. Kwangu kuchelewesha mishahara mpaka kufikia tarehe 15 hapo ni jambo la kulalamikiwa.
 
Please stop talking comparing Mkapa and Kikwete, the truth is both are failures and losers. More they are both Mafisadi wakubwa
 
Mkubwa NIWEZE, Kuna tofauti kubwa kati ya Bw. Ben na JK, Ben alikuwa Rais hodari, mchapakazi, mwenye maamuzi na uthubutu na focus! Huyu wa sasa mambo ni tofauti, mpenda majivuno na sifa za papo kwa papo! Ktk ufisadi kwere ni fisadi zaidi!
 
Kwa mtazamo wangu mlengo wa kati ni kwamba, kama mshahara inatoka kabla ya mwezi kumalizika ni makosa, na nashangaa tathmni ya utengaji, mahudhurio, na mengine yalifanywa lini na hivyo wafanyakazi walipwe tarehe ya mwisho ya mwezi. Ingekuwa sahihi mishahara ingekuwa inalipwa wiki ya kwanza mwishoni au wiki ya pili. Kwa maneno mengine mishahara inalipwa kienyeji bila tathmni sahihi.

Ndio maana wawekezaji wanapolipa mishahara baada ya tathmini ya riport ya mahudhuria kazini wanaambiwa wanachelewesha mishahara kumbe ni sababu ya kutojua na tumezoea mfumo wa kijima. Kwangu kuchelewesha mishahara mpaka kufikia tarehe 15 hapo ni jambo la kulalamikiwa.

ndugu yangu sera na terms za wawekezaji (Private) na umma (Public) ni tofauti sana wakati ya kwanza inajikita kwenye Profits making ya pili inajikita kwenye service provision na social welfare (less/unprofitable)
 
ndugu yangu sera na terms za wawekezaji (Private) na umma (Public) ni tofauti sana wakati ya kwanza inajikita kwenye Profits making ya pili inajikita kwenye service provision na social welfare (less/unprofitable)

Hiyo ya service provision and social welfare inaendeshwa kijima, maana hata kwa akili ya kawaida tu mfumo wa sasa mfanyakazi analipwa hataa siku asozofanya kazi kwa utaratibu huo. Utaratibu niliokuambia ni ule ambao mfanyakazi atalipwa haki yake baada ya kufanya kazi ndio mfumo wa uchumi po pote, vinginevyo ni mataifa yasiyofanya mambo kiuchumi na kuhakiki tendaji wa waajiriwa.
 
Watz tukumbuke wakati wa Che Ben hakukuwa na mtikisiko wa uchumi wa Dunia! Hili la mtikisiko wa uchumi wa Dunia umeathiri sana makusanyo ya serikali, hivyo muwe na subira vurugu za Libya zipo karibu kwisha mambo yatakuwa shwari.
 
Katika upande wa mipango, makusanyo ya fedha na matumizi, kuwalinganisha mkapa na kikwete ni makosa makubwa. Mkapa alijua kutumia pesa kwa umakini mkubwa na kuzuia mfumuko wa bei bila kujali hali iliyokuwa ikiendelea katika 'chumi nyingine' mataifa mengine. leo hii bwana 'matanuzi' kila anachokusanya mwezi huu anakula leo, mishahara inacheleweshwa na utasikia ni kwa sababu marekani walikuwa katika mchakato wa kumuua Osama:frusty:
 
Issue ni kubadilika badilika kwa tarehe ya kupata mshahara !!! ikiwa tarehe 20, na iwe hiyo, 30 na iwe hiyo kila mwezi...siyo leo tarehe 20, mwezi ujao 30....inaboa sana
 
Ukweli ni kwamba JK aliahidi kuwa wafanyakazi tarehe 25 ya kila mwezi watumishi wawe wamepata mishahara, kinachopeleka sasa kushindwa kutekeleza hilo ni jibu la assumption kuwa serikali imefulia na hivyo inadunduliza hadi mishahara ya watumishi wake.
 
nafikiri wewe hufatilii mambo,mimi nimekuwa mtumishi wa serikali zote mbili.Enzi za mkapa mishahara ilikuwa inchelewa sana halafu midogo
 
Tena JK ameleta neema serikalini, heshima ya watumishi wa umma imerudi, Mkapa sikupenda suala ya kutufanyisha usaili watumishi wa umma iwapo tunataka kupanda cheo. Hatimaye nafasi nyingi zilikuwa zinachukuliwa na watu waliokuwa nje ya ajira ya serikali.
 
Back
Top Bottom