Mtanganyika
JF-Expert Member
- Jul 18, 2007
- 1,601
- 945
Natafuta mhandisi wilaya wa Kinondoni ili anijulishe gharama za kupitisha ramani kwa ajili ya building permit. Kama wewe ni trust worth engineer tafadhali ni pm.
Ukitaka kukata deal safi fanya bargain openely hapa hadharani badala ya pm.
Kwani wewe haupo Dar?kama haupo basi mtume ndugu yako aende Magomeni makao makuu ya wilaya Kinondoni na kama upo nenda mwenyewe ni heri kukutana F2F kuliko kusubiri humu kwenye JF mambo mengine yanataka kupata taarifa mwenyewe ama sivyo unaweza kupotoshwa buure,kama una kifuta jasho nitume mimi bana nikashughulike teh teh halafu nikuingize mjini