Wafanyakazi katika PUB wanahitajika

somsom

Member
Nov 8, 2012
43
34
Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30. Kama una sifa tajwa tafadhali ni PM Kwa maelekezo zaidi. Vigezo na mashariti kuzingatiwa.
 
Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30. Kama una sifa tajwa tafadhali ni PM Kwa maelekezo zaidi. Vigezo na mashariti kuzingatiwa.
Tangazo halijakamilika mshahara huja weka mambo yawe hadharani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom