Endelea kuwa wife material huku ukichakaa. Wenzako tunakosa mpk nafasi ya kutunzia minoti

Akili za kuendeleza kile wanachotafuta hawana, wao wanawaza kula bataa tyuuh, na sio kuwekezaa.
We Jamaa una Akili Sana

Then Bata la mademu wa bongo sio Bata ni Anasa unajua ukisema Bata ni ile moment unaenda Sehemu inayoeleweka Kam Kilimanjaro hotel n.k

Lakini hizi watoto wa Chuo wanaziita Bata za kwenda kitambaa cheupe unarudi unanuka Pombe unatembea unayumba hizo sio Bata ni Anasa
 
Nipo besti, zama siku ?
Naona JF bado mambo matamu. 😊

Za masiku ni poa madam, Muumba anaendelea kutukopesha pumzi na afya. Vipi upande wako best? familia? Uliadimika humu ma'am .

Jf inazidi kuwa 'mbichiiii'... kila siku utamu kunoga to next level...😋😋 hatung'oki humu hata kwa greda 😎

-Kaveli-
 
Jina lenyewe ni Sexless maana yake haujielewi. Kimsingi wewe ni changamoto kwenye jamii. Aliyekwambia kila mwanamke ni malaya anayejiuza ili kupata pesa ni nani?!
 
Nilikuwa namsikiliza Sumaye anasema mama yake alikuwa anaamka saa tisa kusaga maindi na jiwe ili apike ugali wa mwanae aende nao shule, nani kama mama.

Nimeingia JF nimekutana na mama wa kisasa na bishara ya UTI.
 
*Wema Sepenga.
*Irene Uwoya.
*Jackline Wolper.
*Kajala.
*Lulu Michael
N.k
Kama unadhani ni bongo movie ndiyo inawaweka mjini basi nenda na wewe kaigize uwone kama utatoboa.

Wote hawa Wana sura na shepu za mauzo ndiyo maana wapo mjini na maisha yanaenda
Sepenga hadi sasa yupo bankrupt at most hayupo vizuri na ndio shida ya kutegemea mwili kuishi mjini ukiacha na pesa zote zinatoweka.

Uwoya aliyekwambia yupo vizuri kifedha ni nani, yale maigizio yake ya kugawa pesa mitandaoni ndio unahisi anapesa? Subiri utakuja kuona habari yake. Muda si mrefu utasikia anaitafuta ndoa.

Wolper alikuwa ameshafilisika, MUNGU amfungua macho akajiweka kwa bwana mdogo jina limenitoka baada ya kustuka umri unakwenda maisha yanaenda hovyo hovyo. Mwisho wa siku akajituliza kwa yule kijana na ndipo mambo yakaanza kufunguka, amepata mtoto na soon anapata mwingine, biashara anazofanya kwa sasa zinafanya vizuri maisha yanatengamaa. Na amejiweka mbali sana na mitandao ya kijamii na maskendo.

Akirudia tu yale maisha yake atapotea tena.

Kajala hana maisha ana tanga tanga tu na mtoto wake wanaliwa na wanaume wa mjini ila wasikudanganye kuwa wanamaisha mazuri. Ukitaka kujua subiria wapatwe na changamoto ndipo utajua hali zao. So ukiachana na maigizo yao hapa mjini si watu wemye maisha hawana hata makazi ya kueleweka wanaishi wapi.

Lulu inajulikana kuwa ameolewa na mtu mwenye pesa na ndio maana unaona kwasasa maisha yake yanauelekeo ila kabla ya hapo uliona anavyohangaika. Ndio imemuokoa kwasasa anaishi kwa stara.

Kwa kifupi mwanamke awe hata na pesa ila akiwa nje ya ndoa na akakosa mwanaume anayejitambua then ataishi maisha ya kishetani sana na ataharibikiwa yeye na kizazi atakachokianzisha katika mfumo huo.

Ndoa inampa mahitaji ambayo hakuna pesa hapa duniani inaweza kununua.

Ndio maana hata vitabu vya MUNGU vilisema kila kifanywacho nje ya ndoa kuanzia mahusiano,ngono,kuzaa watoto na hata matokeo yake ni haramu.

Sasa unaona hata wewe nakuhakikishia utakuwa ni mtoto wa nje ya ndoa ambaye unapozaliwa tu pale unakuwa umeshaharamishwa na ulimwengu bila kujijua maana wazazi wako wamekuleta katika ulimwengu kwa njia haramu na hivyo huwezi kuwa na baraka za MUNGU ingawa unaweza kumiliki mali na utajiri ila vyote hivyo vitaharamishwa hadi pale utakapomtafuta MUNGU mwenyewe na kuomba ulinzi kwake kwa kutambua makosa ya wazazi wako.


Sasa wewe mwanaharamu nenda kwa waliokutuma uje kuharamisha ndoa kuwa umefeli vibaya na ujumbe wako haukupokelewa vema mjaalaana mkubwa weye.
 
Hapo namba moja anafaa kua Huddah Monroe na uzuri hajawahi kuficha,

Vera Sidika japo sasa ameamua kutulia na kuolewa,

Zari the bosslady (role model wa mabinti wengi bila kujua nyuma ya pazia)
Hudda kuna video niliiona online anahangaika kutafuta mtu wa kutulia nae maana kashaanza kuona umri unaelekea ukingoni na atapoteza mvuto ghafla.
 
Chaguo ni lako dada. Amua uishi maisha duni kama mama na bibi yako kwa kupewa sifa za kijinga kuwa wewe ni wife material ama utafute hela kwa nguvu zote.



Wenzako hatutaki kufa kwa stress, tunastarehe na hela tunapata. Amua moja kutumika na mjinga mmoja unayemuita mumeo ama kutumika na wenye vipato vyao .

Lakini ukae ukijua kutumika ni kutumika tu, haijalishi. .....whether utumiwe na huyo mjinga mwenzako ama utumike na wenye maisha bora.

Nani mjanja? Anayetumika na pesa anayo ya kuchezea ama wewe unayetumika huku ukifubaa na kuchakaa? Angalia unavyoteseka hata kupata hela ya kula. Kila siku kiguu na njia kucheza vikoba.

Acha kutafuta sifa za kijinga!
Dah umeongea kama influencer lakini unaonekana umekata tamaa, pole sana
 
Wahuni watakutumia sana watakuhonga hivyo vi chenji vitakavyokusaidia kubadilisha nguo na kutokulala jaa tu, ila kwenye soko la umalaya hautadumu kwa muda mrefu utachakazwa na utarudi kijijini kwenu huna kitu sana sana utaanza dozi isiyo na mwisho.

Urembo una mwisho na ukifika mwisho hakuna atakaetaka hata kukutazama mara mbili

refer maisha ya wema sepetu alivyokua mzuri miaka 10 iliyopita na Sasa alivyo huo Ni mfano tosha uzuri una kikomo
Hii kitu huwa hawaelewi hadi muda ufike. Mimi hii nina ushahidi wa kitosha wa wanawake wengi sana nadhani hata 200 wanaweza fika.

Wanawake umri ukienda yale mabadiliko yana athiri vitu vingi sana katika maisha yake. Na ndipo hapo huwa wanakuja kutambua kuwa Ndoa ina umuhimu sana kwenye Maisha yako kushinda walivyokuwa wakidhani.

MUNGU anapoweka mifumo yake then wewe mwanadamu ukataka kumuonyesha kuwa wewe una akili kumshinda na unaweza kuweka mifumo yako ambayo unaijua wewe ya kuishi kama huyu Sexless upuuzi anaoongea hapa, then utalazimika kujihakikishia ulinzi kwa hiyo mifumo yako na hata ukianza kukichezea ukisema umrejee MUNGU utalazimika kupita mule mule katika maagizo yake jambo ambalo kwa sasa utakuwa umeshachelewa na gharama itakuwa ni kubwa sana upande wako.
 
Jambo usilolijua ni kwamba kuwa wife material sio mateso, ni kuwa na familia yenye afya, amani na Furaha.

Wewe endelea tu kudanga, ila waulize waluokutangulia wakiwa wakweli watakwambia mwisho wao ni mchunu.
Huyu ni 100% mtoto wa single mother na atakuwa katokea kwenye ukoo ambao wanawake wengi kwenye ukoo wao ndoa zimewashinda.

Huwa wanakuwa na mawazo ya hivi.
 
We Jamaa una Akili Sana

Then Bata la mademu wa bongo sio Bata ni Anasa unajua ukisema Bata ni ile moment unaenda Sehemu inayoeleweka Kam Kilimanjaro hotel n.k

Lakini hizi watoto wa Chuo wanaziita Bata za kwenda kitambaa cheupe unarudi unanuka Pombe unatembea unayumba hizo sio Bata ni Anasa
kwa hawa slays nasema bata couz wanaenda hizo sehemu za five hotels.

Wanachuo wana nn sasa kuvaa, kujipodoa, na kuzururishwa kwa gari ndo wanaona wameulaa, wakirudi makwaoo wanavyochoka na kupauka km sio wao vilee
 
Sepenga hadi sasa yupo bankrupt at most hayupo vizuri na ndio shida ya kutegemea mwili kuishi mjini ukiacha na pesa zote zinatoweka.

Uwoya aliyekwambia yupo vizuri kifedha ni nani, yale maigizio yake ya kugawa pesa mitandaoni ndio unahisi anapesa? Subiri utakuja kuona habari yake. Muda si mrefu utasikia anaitafuta ndoa.

Wolper alikuwa ameshafilisika, MUNGU amfungua macho akajiweka kwa bwana mdogo jina limenitoka baada ya kustuka umri unakwenda maisha yanaenda hovyo hovyo. Mwisho wa siku akajituliza kwa yule kijana na ndipo mambo yakaanza kufunguka, amepata mtoto na soon anapata mwingine, biashara anazofanya kwa sasa zinafanya vizuri maisha yanatengamaa. Na amejiweka mbali sana na mitandao ya kijamii na maskendo.

Akirudia tu yale maisha yake atapotea tena.

Kajala hana maisha ana tanga tanga tu na mtoto wake wanaliwa na wanaume wa mjini ila wasikudanganye kuwa wanamaisha mazuri. Ukitaka kujua subiria wapatwe na changamoto ndipo utajua hali zao. So ukiachana na maigizo yao hapa mjini si watu wemye maisha hawana hata makazi ya kueleweka wanaishi wapi.

Lulu inajulikana kuwa ameolewa na mtu mwenye pesa na ndio maana unaona kwasasa maisha yake yanauelekeo ila kabla ya hapo uliona anavyohangaika. Ndio imemuokoa kwasasa anaishi kwa stara.

Kwa kifupi mwanamke awe hata na pesa ila akiwa nje ya ndoa na akakosa mwanaume anayejitambua then ataishi maisha ya kishetani sana na ataharibikiwa yeye na kizazi atakachokianzisha katika mfumo huo.

Ndoa inampa mahitaji ambayo hakuna pesa hapa duniani inaweza kununua.

Ndio maana hata vitabu vya MUNGU vilisema kila kifanywacho nje ya ndoa kuanzia mahusiano,ngono,kuzaa watoto na hata matokeo yake ni haramu.

Sasa unaona hata wewe nakuhakikishia utakuwa ni mtoto wa nje ya ndoa ambaye unapozaliwa tu pale unakuwa umeshaharamishwa na ulimwengu bila kujijua maana wazazi wako wamekuleta katika ulimwengu kwa njia haramu na hivyo huwezi kuwa na baraka za MUNGU ingawa unaweza kumiliki mali na utajiri ila vyote hivyo vitaharamishwa hadi pale utakapomtafuta MUNGU mwenyewe na kuomba ulinzi kwake kwa kutambua makosa ya wazazi wako.


Sasa wewe mwanaharamu nenda kwa waliokutuma uje kuharamisha ndoa kuwa umefeli vibaya na ujumbe wako haukupokelewa vema mjaalaana mkubwa weye.
Wolper tayari ana mtoto wa 2.
 
Wema bado mrembo ndiyo maana kwa umri wake wa 45+ bado amechukuliwa na msanii Wozhu.

Wanawake wengi wenye miaka 35 (achilia mbali 40 - 45) hawatazamiki, lkn Wema katazamwa na Wozhu mwenye miaka 24
Aiseee ila wewe mleta uzi ni Lijinga na hauna akili wewe daaah

Sasa wewe unaweza kabisa kutamka kuwa wema ni mzuri kwa sasa?

Wema alikuwa mzuri ila sio sasa ameshachuja na hakuna teknolojia ya urembo unaweza kupambana na hilo, ingekuwapo basi akina J lo, Harley Berry, etc wangeshalipa hela kununua huo uzuri ila haiwekezekani tena.

Halafu wozhu ni bwana mdogo, wema anamtumia tu kuishi maisha yaliyobakia maana hakuna mwanaume wa kukaa nae kimaisha anakutana na wahuni tu.
 
Back
Top Bottom