Emmanuel Adebayor's Transfer hic-cups!

kilichotukosesha ubingwa si adebayor kukosa magoli bali tumeruhusu magoli mengi zaidi ya Liver na Man u so we need a holding midfielder mwenye uzoefu ili denilson awe second choice bila kuvuruga pale mbele ili tu study team baada ya apo kumbuka ukimuuza adebayor manake umepunguza magoli na tukumbuke kuwa rosicky kaumia tena mazoezini na Van persie hatabiliki mara kwa mara anaumia na pia Eduardo bado anaingia miguu kwa uoga so hatuna depth pale mbele in reality,mechi zinazochezwa england ni nyingi FA,CARLING,PREMIER na UEFA so we need a deep squad ili wachezaji wapumzike kwa ku rotate na kwa ushindi...Ade should deal should be delayed unless kama anayo replacement ya nguvu..
 
kilichotukosesha ubingwa si adebayor kukosa magoli bali tumeruhusu magoli mengi zaidi ya Liver na Man u so we need a holding midfielder mwenye uzoefu ili denilson awe second choice bila kuvuruga pale mbele ili tu study team baada ya apo kumbuka ukimuuza adebayor manake umepunguza magoli na tukumbuke kuwa rosicky kaumia tena mazoezini na Van persie hatabiliki mara kwa mara anaumia na pia Eduardo bado anaingia miguu kwa uoga so hatuna depth pale mbele in reality,mechi zinazochezwa england ni nyingi FA,CARLING,PREMIER na UEFA so we need a deep squad ili wachezaji wapumzike kwa ku rotate na kwa ushindi...Ade should deal should be delayed unless kama anayo replacement ya nguvu..

Nadhani Mzee Wenger atakua anafuatilia huu mjadala wa Adebayo kwa karibu. Ila jambo la kukumbuka ni kwamba ubingwa hauletwi na holding midfielders, kwani ingekuwa hivyo Liverpool ndo timu ilokuwa na strong HM lakini walishindwa kuchukua ubingwa. Timu lazima iwe na mizania (balance), na hili ni tatizo kubwa kwa mashabiki, wengi hawajui ndio maana kwa wale mashabiki wa Arsenal walikuwa hawapendi kumuona Eboue akipangwa hasa mbele anapocheza Ade na Van P, timu lazima iwe imabalance vinginevyo gaps kwenye timu zinakuwa nyingi.
 
ndo balance yenyewe nazungumzia in other words, huwezi kuwa na strikers wengi wakati back line yako ni tia maji tia maji na back line inaanzia holding midfielders to the back four, Man city ndo mana wanatafuta john terry au Lescot ili wawe na balance,real madrid ndo mana wanamtaka Alonso au Franck ribery yote hii ni balance,Liverpool wana back four imechoka so ukimpita holding midfielder ni kasheshe na wanapatiwa sana na counter attacks koz ya aged defence,remeber 4-4 na arsenal???Ebue kuuzwa ni ngumu kidogo kwa kuwa ni second option ya sagna na pia anafaa upande wa theo walcott kama namba 11 au 3 ya upinzani inapanda sana yeye anaanza nae kumkaba kabla ya kukutana na sagna mfano mzuri ni Evra anapanda sana kwa ajili ya crosses so coach akiona theo anapwaya anauwezo wa kumweka ebue ili adhibiti crosses so team ibakie ivo ivo kwanza tuone man u watafanya nini baada ya kuondoka kwa tevez na ronaldo...liverpool wako intact,chelsea pia wako ivo ivo so we better do the same....
 
ndo balance yenyewe nazungumzia in other words, huwezi kuwa na strikers wengi wakati back line yako ni tia maji tia maji na back line inaanzia holding midfielders to the back four, Man city ndo mana wanatafuta john terry au Lescot ili wawe na balance,real madrid ndo mana wanamtaka Alonso au Franck ribery yote hii ni balance,Liverpool wana back four imechoka so ukimpita holding midfielder ni kasheshe na wanapatiwa sana na counter attacks koz ya aged defence,remeber 4-4 na arsenal???Ebue kuuzwa ni ngumu kidogo kwa kuwa ni second option ya sagna na pia anafaa upande wa theo walcott kama namba 11 au 3 ya upinzani inapanda sana yeye anaanza nae kumkaba kabla ya kukutana na sagna mfano mzuri ni Evra anapanda sana kwa ajili ya crosses so coach akiona theo anapwaya anauwezo wa kumweka ebue ili adhibiti crosses so team ibakie ivo ivo kwanza tuone man u watafanya nini baada ya kuondoka kwa tevez na ronaldo...liverpool wako intact,chelsea pia wako ivo ivo so we better do the same....

Inawezekana unayosema baadhi yana ukweli ila mengine hayana ukweli, matokeo ya mechi moja huwezi ukasema kwamba backline ya Liverpool ni aged kiasi hicho, na pia kama ni mfutialiaji mzuri wa soka, magoli ya counter attack mengi hayazuiliki, vinginevyo timu iamue isishambulie kwasababu timu inapojicommit kwenda mbele ndio hapo hapo inapigwa counter, kumbuka Arsenal vs Man U CL Emirates, Gunz walipata kona ikawa cleared ikamkuta Ronaldo akapiga kisigino, then pass ndefu kwa Rooney, cross goli kafunga tena Ronaldo pasi tatu tu ilhali beki ya Arsenal yote vijana. Kwa kifupi magoli mengi kwenye mpira wa sasa hivi (modern football) ni either counter ambayo wenetu wanaita transition na set plays (kona, faulo, penati etc), ni nadra sana magoli kufungwa kwenye normal open play.
 
Mkiuza ADE ,itabidi kuongeza pesa ili kununua mchezaji mwingine la hampti replacemement ,and you will be kicked out of top four
 
Mkiuza ADE ,itabidi kuongeza pesa ili kununua mchezaji mwingine la hampti replacemement ,and you will be kicked out of top four

Huo ni utabiri zaidi, replacement ya mchezaji inapatikana/inawezekana, ni suala la kubadili tactics kutegemeana na mchezaji uliyenae, kama ADE was very strong in the air then unabadili unapitia chini badala ya cross za juu, kona kick unapiga short corners; inawezekana kabisa!
 
Mkiuza ADE ,itabidi kuongeza pesa ili kununua mchezaji mwingine la hampti replacemement ,and you will be kicked out of top four

Huu wa kwako ni utabiri zaidi. Replacement ya mchezaji inapatikana/inawezekana, ni suala la kubadili tactics kutegemeana na mchezaji uliyenae, kama ADE was very strong in the air then unabadili unapitia chini badala ya cross za juu, kona kick unapiga short corners; inawezekana kabisa!
 
Ade huyoo Man City...


Adebayor passes Man City medical


_46053992_ade226.jpg
Adebayor almost left Arsenal last summer when AC Milan came calling

Emmanuel Adebayor has passed a medical and will move to Manchester City once his work permit is approved. The Togo striker, who has spent three-and-a-half seasons at Arsenal, is believed to be valued at £25m.
The 25-year-old, who scored 16 times for the Gunners last season, has also been linked to AC Milan and Chelsea.
City boss Mark Hughes said as Carlos Tevez was unveiled: "There have been discussions and possibly a deal to be done but nothing has been concluded."
Speaking at the press conference to announce the signing of the former Manchester United striker, Hughes admitted that there could be more arrivals at the big-spending club before the start of the season.
"It may well be that opportunities will present themselves. We still have areas we want to strengthen," he said.
City are intent on building a new-look attack and as well as Tevez have also added Paraguayan Roque Santa Cruz to their ranks this summer, having signed Craig Bellamy last season.
o.gif


Blue_Thru_and_Thru

The Eastlands outfit are eager to break into the Premier League's top four this coming season and have shown their determination with their close-season spending.
Midfielder Gareth Barry was bought from Aston Villa, and from under the noses of last season's Premier League runners-up Liverpool, for £12m and City paid Blackburn about £18m for Paraguay international forward Santa Cruz.
City completed a deal for Tevez on Tuesday - the Argentine joining after City paid a fee of about £25m to secure his registration from third party ownership after his contract with Premier League champions Manchester United expired.
And if Adebayor also makes the switch to Eastlands, City will have captured players from three of the leading six clubs in the top flight last season.
In Adebayor, City would be buying a player who has scored 62 goals in 142 appearances for Arsenal since he joined the Gunners from Monaco for £7m.
He hit 30 goals in the 2007/08 season but struggled with injuries in the last campaign and also incurred the wrath of some Arsenal fans, who felt the striker lacked commitment.
With the influx of big-name players at Eastlands comes a new challenge for manager Hughes, according to former Manchester City player Dennis Tueart.
He told BBC Radio 5 Live: "The big challenge for managers now is to manage extremely wealthy young men, who do not need to work beyond their football careers.
"How does that affect their psyche and professionalism? These are things that the manager has got to sort out."
 
acheni kukosa fadhila wajameni..adebayor kawapigia magoli 30 misimu mi 2 iliyopita..kiwango ambacho van persie wala hakufika huko..mwaka jana nadhan kawapa 15 goals..nadhan more or less na van persie..leo sio vizuri kumtukana..japo alishindwa kuvaa viatu vya henry..lkn kwa arsenal ya sasa..nadhan he was the best..
kama mmemchoka ni kumtakia kila la heri tu kama man utd walivyomtakia ronaldo...life goes on..
 
Huyu ndiye the current Adebayor - Let him go but has a huge hill to climb ahead!
@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@
Emmanuel Adebayor has been accused of lacking the stomach for a fight during his last year at Arsenal.

#bodycopy a { font-size: 12px; }
Ex-Gunners midfielder Ray Parlour says Arsene Wenger has done brilliant business by collecting a whopping £30m for the Togo striker because he was so lazy.

Parlour said: "He was too lazy at times last season and just didn't do it.

"His body language wasn't great.

"He has a big contract, which maybe is because he had a good season the year before – but he needs people behind him getting on his back.

"Wenger will not stand in his way because they can get a lot of money for him and then get a very good player to replace him.

"His attitude amazed me at times last season when he just didn't put it in.

"Sometimes if things are not going well for you, you have to show desire.

"At first I heard £30m bandied around, and I'd snap their hand off at that price. Then you go and get an excellent player who will work his socks off."

Parlour thinks Adebayor may even struggle to get into the City line-up.

He will have to battle with Carlos Tevez, Roque Santa Cruz, Craig Bellamy, Robinho and Benjani for a starting place up front, and Parlour added: "How many forwards do they need?

"I know they're not finished yet and want John Terry but it looks like they will be going all out attack.

"What formation will they play to fit these players in?"
@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@
 
Adebayor Habebeki ? Kama sio striker si acheze namba nane? utachezaje nyuma ya striker wakati wewe ndo uko mbele mwisho? Wenga kwa kawaida ni mvumilivu na huwa hatoi adhabu nusu ya msimu, hivyo kiendo cha kuona amekubali ofa ya Man haraka kabla hawajabadili mawazo, inaonyesha ni kwa kiwango gani na yeye alikuwa amebeba mzingo ndani ya Ade (japo ni mbongo ila ametuuza)
 
...eti hakuna wa kuziba pengo lake, mshawasahau Bendtner, Eduardo na Vela? ...Rosicky naye huyoo anarudi uwanjani, angalau Walcott sasa atapata nafasi ya kucheza kama striker!...

aende zake bishololo huyo, anaudhi kweli!
 
Sheyi adebayor ni striker wa kiwango cha juu na ujuzi wa kuchezea mpira na chenga za maudhi na uwezo mkubwa wa kufunga. Nafkiri arsenal watakua wamewalambisha dume man city na kuwa hatari kubwa kwa vigogo wanne wa uingereza, hebu isome timu yao sasa, robinho,santa cruz,tevez,philips,elano,bridge na n.k na kama akitua sheyi itakua hatari sana ktk barclays ijayo. Yetu macho na masikio tusimdharau adebayor
 
Football transfer rumours: Emmanuel Adebayor to Manchester United?

HABARI ZILIZOTUFIKA KWAMBA TAYARI EDABAYO ANAMPANGO KWA KWENDA MAN U.
 
NOPE:
Adebayor's United feeler
Emmanuel Adebayor's £25million move to Manchester City took a dramatic twist yesterday when his advisers offered the Arsenal striker to Manchester United. It followed a breakdown in talks over Adebayor's personal terms, with City reluctant to meet his demands for £170,000 a week. But United rejected the chance and City are still expected to sign the Togo centre forward whose work permit was renewed yesterday.
Simon Jones, Daily Mail
Meanwhile, the Daily Mirror and Daily Star claim there could still be more new faces at Old Trafford this summer after picking up David Gill's quote about "player activity" while the Reds are in Asia. However, the quote comes from a pre-tour interview conducted for ManUtd.com in June. NB player activity could also include loans, departures or contracts:

cool.
 
Nope, hatumtaki jamani!..ha ha

....aaaarrggghh humtakii nini kwani? Adebayor hakosi goli :D I can't imagine Ade akim partner Berbatov duuuuh, si uvivu huo... Eqlypz, Belo, Nziku, Saikosisi mpoooooo?!
 
Back
Top Bottom