kweli mapenzi ni kumzoea mtu tu kadri siku zinavyozidi kwenda ndio mtu anamzoea mtu na mwisho kupenda kabisa, eliza alimtolea kabisa nje jamaa lakini mwisho wanafunga ndoa. Mungu awabariki sana wakaishi kwa amani na upendo baada ya ndoa yao
Itakuwa Bongo then wataenda tena Nigeria kufanya ya kimila ni must. Kule Nija watakuwa pia na big reception, si unajua tena watu wa matanuzi? Ila wajameni kuolewa na wawest yataka moyo ndugu yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.