K keinyo Member Jul 20, 2011 7 1 Jul 21, 2011 #1 Hivi kuna umuhimu wowote wa kuanzisha tution kwa shule za nasary schoolor ndo development
Salanga JF-Expert Member Nov 18, 2010 364 44 Jul 24, 2011 #2 Mkuu hakuna umuhimu wowote.Tuition ni kwa wale wenye matatizo katika learning.Inatakiwa iwe prescribed na mwalimu kwa wanafunzi wenye uwezo wa chini.
Mkuu hakuna umuhimu wowote.Tuition ni kwa wale wenye matatizo katika learning.Inatakiwa iwe prescribed na mwalimu kwa wanafunzi wenye uwezo wa chini.
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Jul 24, 2011 #3 Tanzania kuna shule za Nasary za kata