Elimu za kibongo

keinyo

Member
Jul 20, 2011
7
1
Hivi kuna umuhimu wowote wa kuanzisha tution kwa shule za nasary schoolor ndo development
 
Mkuu hakuna umuhimu wowote.Tuition ni kwa wale wenye matatizo katika learning.Inatakiwa iwe prescribed na mwalimu kwa wanafunzi wenye uwezo wa chini.
 
Back
Top Bottom