brightrich Senior Member Nov 19, 2010 136 26 Sep 27, 2013 #2 Mmmmmh na hapo wanategema 'Big Result Now' kwa mtindo huu hakuna kitu!
M Mwashelii JF-Expert Member May 7, 2013 477 90 Sep 27, 2013 #3 Hahahahahahahah.....xorry jaman haikua dhamira yangu kucheka ila kimenitoka tu.
mgeni10 JF-Expert Member Nov 29, 2010 1,109 369 Sep 27, 2013 #4 Hapo hakuna Elimu, ni watu tu wanawekwa sehemu kuongeza idadi ya miaka yao wanayoishi hapo
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Sep 27, 2013 #5 Mwashelii said: Hahahahahahahah.....xorry jaman haikua dhamira yangu kucheka ila kimenitoka tu. Click to expand... Ah apo lazma ucheke namna walivopendeza na hiyo podari
Mwashelii said: Hahahahahahahah.....xorry jaman haikua dhamira yangu kucheka ila kimenitoka tu. Click to expand... Ah apo lazma ucheke namna walivopendeza na hiyo podari
Gorgeousmimi JF-Expert Member Jun 21, 2010 9,296 7,666 Sep 27, 2013 #6 Hivvi kuna kiungo kichokosa hilo vumbi kweli?
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Sep 27, 2013 #8 Mmmh mivumbi hiyo lazima mifunza iingie kwenye miguu