Mwana va Mutwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 459
- 53
Wanafunzi wa Shule ya msingi Ihanga wilayani Mufindi, mkoa wa Iringa wakiwa wamebeka kuni kupelekea kwa mteja aliyenunua kuni hizo kutoka katika Shule yao kama walivyokutwa na mwandishi wetu, Waalimu hutumia muda wa masomo kufanya biashara hiyo. Picha na Hakumu Mwafongo