Nashangazwa sana na wasomi hawa wa chuo hiki kikongwe na tunaamini kinatoa wahitimu wengi bora wenye kuiletea sifa kubwa taifa letu nmaanisha chuo kikuu cha Dar es salaam.
Katika uchaguzi mkuu pale chuoni kulikuwa na kila aina ya shamlashamla za uchaguzi kama ilivyo kwa chaguzi zingine za kitaifa.
Sina ugomvi na wagombea mana kili mmoja alitoa sera zake lakini sifikirii kwamba wadau wenyewe wa uchaguzi walikuwa makini na wanachokifanya. Wengi wao inaonyesha walikuwa hawafati mikutano ya wagombea bali walifata muziki.
Nasema hivi si tu kwa kuwa walijaa sana kwenye makampeni la hasha! Kinachonishangaza ni idadi ya wapiga kura ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya wanachuo. Maana sidhani kama wapiga kula walizidi 5000 kati ya wanafunzi zaidi ya 18000. Sielewi hawa wengine 13000 walikuwa chin ya umri wa kupiga kura ama mwamko mdoga wa kupiga kura.
Mi nadhani kama utaratibu huu utaendelea basi tutendelea kulia demokrasia milele maana sehemu ambayo tunaamini ni kitovu cha viongozi wa nchi yetu hawajui nini maana ya kupiga kura basi taifa linaelekea kubaya!!!. Uchaguzi huru na wa haki inapaswa kili mdau awajibike toka mwanzo wa mchakato adi mwisho.
Eti jamani turudi shule ya msingi kufundisha wanachuo Uraia ni nini!!?
Katika uchaguzi mkuu pale chuoni kulikuwa na kila aina ya shamlashamla za uchaguzi kama ilivyo kwa chaguzi zingine za kitaifa.
Sina ugomvi na wagombea mana kili mmoja alitoa sera zake lakini sifikirii kwamba wadau wenyewe wa uchaguzi walikuwa makini na wanachokifanya. Wengi wao inaonyesha walikuwa hawafati mikutano ya wagombea bali walifata muziki.
Nasema hivi si tu kwa kuwa walijaa sana kwenye makampeni la hasha! Kinachonishangaza ni idadi ya wapiga kura ni ndogo sana ukilinganisha na idadi ya wanachuo. Maana sidhani kama wapiga kula walizidi 5000 kati ya wanafunzi zaidi ya 18000. Sielewi hawa wengine 13000 walikuwa chin ya umri wa kupiga kura ama mwamko mdoga wa kupiga kura.
Mi nadhani kama utaratibu huu utaendelea basi tutendelea kulia demokrasia milele maana sehemu ambayo tunaamini ni kitovu cha viongozi wa nchi yetu hawajui nini maana ya kupiga kura basi taifa linaelekea kubaya!!!. Uchaguzi huru na wa haki inapaswa kili mdau awajibike toka mwanzo wa mchakato adi mwisho.
Eti jamani turudi shule ya msingi kufundisha wanachuo Uraia ni nini!!?