Elimu ya Uraia na Haki inahitajika sana Tanzania!

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Sep 22, 2020
1,409
2,263
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
Kwakushindwa kwetu kujitambua acha tuendelee kupambana na hali zetu,mtu halazimishwi jinsi ya kuitumia akili yake.Muda utatulazimu, kwetu tunaweza tuu kuitumia kuwatambua magaidi na kuzuia madai ya haki ya kufanya makongamano ya kudai katiba mpya.
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
Anza ww na familia yako kuingia barabarani
 
Hapa bongo hata ikiamriwa wananchi wawe wanachapwa viboko vitatu kila siku hawawezi kuandamana.

Watanzania ni maiti.....Jomo Kenyatta.
 
Sio lazima wote tuanze kuandamana, kidogo uleta wingi, kawaambie viongozi wa chadema wawe mstari wa mbele katika maandamano halafu na mimi nitakuwepo
 
Nchi ya watu maiti hii na ubinafsi

Unakumbuka Lena juzi aliongea kijana akishanunua IST na kuvaa pensi anajiona maisha kayamaliza.

Bila kujua kwamba kumbe mfumo ungeboreshwa zaidi angekuwa na Prado angalau.

Kumbe ndugu zake na jamaa zake wanaumizwa na mifumo ya utawala na yeye wala hana habari

Vijana wa nchi tunawaangusha sana wazee
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
KWa hiyo wewe pia hauna akili?
 
Nimeanza kuona umuhimu wa watu kusoma na kuelimika. Angalia sisi ndani humu tulivyomakondoo mpaka vyombo vya nje cnn, aljazeera, sky news nk ndo wanatusaidia kudai haki na inaonekana wao neo wameguswa zaidi na uonevu na ni kama wanaandamana invisibly lakini sisi hakuna tunachojua hata tukichinjwa sawa tu.

Kodi ya miamala ya simu pia ilitosha kuwafanya watu waandamane nchi nzima lakini ndugai amebaki anawakejeli kana kwamba anawona watanzania hamnazo kabisa na hamjimbui.

Tanzania tunahitaji sana elimu utamkuta hata graduate haelewi kinachoendelea anaulizia tu na anaamini miujiza kama pascal mayala.
Nakubaliana Na Wewe Ila Bado Nina Swali Kwani Katiba inasemaje? Me Bado sijafaham, endapo hatukubaliani na Mambo yanayofanywa na viongozi, Ni njia ipi ya kufanya Ili kuwaonesha Kuwa wapo kinyume na sisi? Ni kwa kuandamana au Kuna njia Nyingine mbadala?

Kama Kwa kuandamana Tunaweza pata haki zetu za msingi, Na Tufanye hivyo...
 
Wenye akili wanaelewa kuwa nchi ni ccm na upinzani ni wasaidizi wa ccm, awamu hii upinzani unafanya kazi iliyokusudiwa na wanayoipenda. Unajua kwann huwezi andamana? Sababu ni upinzani sasa upo vizuri huku ukisaidiwa na wenye matukio yenye ushawishi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom