Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
Niliona vijana wakijitetea kwenye TBC1 kwa nini wanafeli mitihani ya form four Mbeya:
- Walimu wa kike wanafaa vimini darasani na kuwadistruct wanafunzi attention zao hata hawaelewi kitu
- Walimu wa kiume wana macho ya kuotea mbali kwa mabinti wanafunzi hata inawabidi mabinti waione shule kuwa ngumu sana na wanafeli.
- Vitabu vya kiada ni vya 1947 visivyoendana na wakati
- Walimu hawapo. Mwalimu wa hesabu mmoja anafundisha kuanzia form one hadi form six. Wakati mwingine huyohuyo ndiye mkuu wa shule yenye walimu wawili.
- Mazingira ya shule hayahamasishi kusoma hata kufaulu. (What?)