Elimu: Changamoto za utekelezaji wa kalenda ya mtaala

DustBin

JF-Expert Member
Jun 3, 2021
544
558
Nawasalimu kwa jina la JMT


Kazi iendelee.....

Nikiwa kama mdau wa Elimu nimebaini haya yafuatayo hasa baada ya kupitia maoni ya baadhi ya watu ambao wengi wao ni walimu juu ya utekelezaji wa kalenda mpya ya mtaala inayowataka walimu wote Tanzania kuwa sawa ktk ufundishaji. Kwa maana kama leo jumatatu ya tarehe 7/2/2022 Mwalimu wa Feza Boys akifundisha mada ya simultaneous equation na Mwalimu wa huko Maundo Tandahimba afundishe mada hiyo hiyo, wasitifautiane.

Bila shaka serikali ina nia njema juu ya hili; lakini hata hivyo sisi wadau tunalo la kuchangia huenda tukaisaidia serikali kufanya maboresho.

Changamoto hizo ni kama ifuatavyo;-

(1) Kutofautiana kwa idadi ya vipindi kati ya syllabus na kalenda katika baadhi ya masomo. Maeneo mengi yameonesha kwenye syllabus kuwa na vipindi vingi katika mada husika wakati kwenye kalenda mada hizo hizo zimewekewa vipindi vichache na hali muda wa vipindi ni ule ule

(2) Kalenda imechukua muda wote wa mwaka mzima kwa ajili ya kusoma darasani na siku chache kwa ajili ya upimaji na likizo. Hivyo kumfanya mwalimu akose muda wa kuwa na upimaji wa wiki (weekly test), upimaji wa mwezi (monthly test) na hata muda wa kufanya mtihani wa utimilifu (Mock exams). Kubwa zaidi mwalimu huyu huyu hakuwekewa muda wa kusahisha hiyo mitihani na kufanya marudio kama somo halikufahamika vizuri kwa wanafunzi

(3) Kalenda haikuzingatia uwepo wa shuguli za kitaifa zinazowahusisha walimu na wanafunzi pia kama vile Mwenge, Umiseta na Umitashunta, kazi maalumu nk.

(4) Kwa mujibu wa kalenda mitihani ya robo muhula imetengewa siku tatu tu jambo ambalo ni changamoto kwa shule zenye masomo zaidi ya 10 kumtahini mwanafunzi ndani ya siku tatu tu kwa mtihani wenye vigezo stahili/timilifu. Kwa kawaida shule hutumia siku 7 hadi 12 kwa ajili ya mitihani hiyo ya robo muhula.

(5) Kalenda haikuzingatia dharura mbalimbali zitakazomfanya mwalimu asiingie darasani siku husika kama vile maradhi, matatizo/shuguli za kijamii au za kiserikali nk. Ukizingatia baadhi ya shule (ambazo ni nyingi) zina uhaba wa walimu.

MAPENDEKEZO

Kwa kuwa huu mpango wa kalenda unaonyesha kuwa na mafanikio, na kwa sababu ndio kwa mara ya kwanza unaingizwa kwenye field kufanyiwa kazi ili kuwa na ufanisi mdau mimi ningependekeza, hii kalenda ingeanza na kidato cha kwanza wa mwaka huu wa 2022, ili madarasa mengine waendelee na utaratibu wa kawaida uliozoeleka. Kupitia hao wanafunzi wa kidato cha kwanza tungefanya tathimini mwisho wa mwaka na kubaini kama tuendelee nao au la.!! Na kama utaonekana hauna tija hasara ingekua kidogo. Lakini kwa hali ya sasa ya majaribio alafu tunafanya majaribio hayo na hata kwa madarasa ya mitihani nina hofu kama usipoleta ma
 
Kama usipoleta matokeo chanya tukasababisha anguko la ufaulu wa watoto wetu!

Nawasilisha.

DustBin
 
Waandaaji walibase sn kwny centred method njia ambayo inafaa kwa shule zenye vitabu vya kutosha ili watoto waweze kusoma na kujadili pamoja na presentation wakati uhalisia Ni kwamba mkondo mmoja kwa majiji kuwa na wanafunzi 150 Ni kawaida na hakuna kitabu hata kimoja kitu ambacho kinamfanya mwalimu atumie lecture method akibase kwny kitabu chake alichojinunulia Sasa hapo ukisema afuate calendar Ni uongo mtupu
 
Shule tulifundishwa kitu kinaitwa SMART hasa katika mipango yetu ya kimaendeleo ktk nyanja zote. Kuweka mpango na ukijua kabisa hautekelezeki lakini bado ukang'ang'ana utekelezeke ni kutuambia kile tulichofunzwa shule ilikua kupoteza muda.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT


Kazi iendelee.....

Nikiwa kama mdau wa Elimu nimebaini haya yafuatayo hasa baada ya kupitia maoni ya baadhi ya watu ambao wengi wao ni walimu juu ya utekelezaji wa kalenda mpya ya mtaala inayowataka walimu wote Tanzania kuwa sawa ktk ufundishaji. Kwa maana kama leo jumatatu ya tarehe 7/2/2022 Mwalimu wa Feza Boys akifundisha mada ya simultaneous equation na Mwalimu wa huko Maundo Tandahimba afundishe mada hiyo hiyo, wasitifautiane.

Bila shaka serikali ina nia njema juu ya hili; lakini hata hivyo sisi wadau tunalo la kuchangia huenda tukaisaidia serikali kufanya maboresho.

Changamoto hizo ni kama ifuatavyo;-

(1) Kutofautiana kwa idadi ya vipindi kati ya syllabus na kalenda katika baadhi ya masomo. Maeneo mengi yameonesha kwenye syllabus kuwa na vipindi vingi katika mada husika wakati kwenye kalenda mada hizo hizo zimewekewa vipindi vichache na hali muda wa vipindi ni ule ule

(2) Kalenda imechukua muda wote wa mwaka mzima kwa ajili ya kusoma darasani na siku chache kwa ajili ya upimaji na likizo. Hivyo kumfanya mwalimu akose muda wa kuwa na upimaji wa wiki (weekly test), upimaji wa mwezi (monthly test) na hata muda wa kufanya mtihani wa utimilifu (Mock exams). Kubwa zaidi mwalimu huyu huyu hakuwekewa muda wa kusahisha hiyo mitihani na kufanya marudio kama somo halikufahamika vizuri kwa wanafunzi

(3) Kalenda haikuzingatia uwepo wa shuguli za kitaifa zinazowahusisha walimu na wanafunzi pia kama vile Mwenge, Umiseta na Umitashunta, kazi maalumu nk.

(4) Kwa mujibu wa kalenda mitihani ya robo muhula imetengewa siku tatu tu jambo ambalo ni changamoto kwa shule zenye masomo zaidi ya 10 kumtahini mwanafunzi ndani ya siku tatu tu kwa mtihani wenye vigezo stahili/timilifu. Kwa kawaida shule hutumia siku 7 hadi 12 kwa ajili ya mitihani hiyo ya robo muhula.

(5) Kalenda haikuzingatia dharura mbalimbali zitakazomfanya mwalimu asiingie darasani siku husika kama vile maradhi, matatizo/shuguli za kijamii au za kiserikali nk. Ukizingatia baadhi ya shule (ambazo ni nyingi) zina uhaba wa walimu.

MAPENDEKEZO
Kwa kuwa huu mpango wa kalenda unaonyesha kuwa na mafanikio, na kwa sababu ndio kwa mara ya kwanza unaingizwa kwenye field kufanyiwa kazi ili kuwa na ufanisi mdau mimi ningependekeza, hii kalenda ingeanza na kidato cha kwanza wa mwaka huu wa 2022, ili madarasa mengine waendelee na utaratibu wa kawaida uliozoeleka. Kupitia hao wanafunzi wa kidato cha kwanza tungefanya tathimini mwisho wa mwaka na kubaini kama tuendelee nao au la.!! Na kama utaonekana hauna tija hasara ingekua kidogo. Lakini kwa hali ya sasa ya majaribio alafu tunafanya majaribio hayo na hata kwa madarasa ya mitihani nina hofu kama usipoleta ma

Naweza kuunganisha dots.
Kuna baadhi ya shule za serikali za msingi kwa sasa kumekuwa na ubunifu wa kuwataka watoto/wanafunzi kufika darasani saa 12 asubuhi na kutoka saa moja jioni. Pia weekend moja inapukusuliwa.

Pamoja na hii nia njema lakini kuna mambo hayajazingatiwa kama:

1: Usalama wa watoto(muda wa kufika na kuondoka ni hatarishi , unapoanza kuondoka na kufika nyumbani).

2: Afya za watoto/ muda mrefu wa kusoma bila kupumzika(muda ulioongezwa ni zaidi ya nusu ya muda wa kawaida).

3: Psychological toucher/watoto wanaweza kuona shule ni mzigo, wasifurahie uwepo wao shuleni.

NB: Ukikutana na mwalimu mkuu anakwambia tulishakaa kikao na kuamua, tunataka wafaulu.
 
Naweza kuunganisha dots.
Kuna baadhi ya shule za serikali za msingi kwa sasa kumekuwa na ubunifu wa kuwataka watoto/wanafunzi kufika darasani saa 12 asubuhi na kutoka saa moja jioni. Pia weekend moja inapukusuliwa.

Pamoja na hii nia njema lakini kuna mambo hayajazingatiwa kama:

1: Usalama wa watoto(muda wa kufika na kuondoka ni hatarishi , unapoanza kuondoka na kufika nyumbani).

2: Afya za watoto/ muda mrefu wa kusoma bila kupumzika(muda ulioongezwa ni zaidi ya nusu ya muda wa kawaida).

3: Psychological toucher/watoto wanaweza kuona shule ni mzigo, wasifurahie uwepo wao shuleni.

NB: Ukikutana na mwalimu mkuu anakwambia tulishakaa kikao na kuamua, tunataka wafaulu.
Unapojenga na kubomoa, angalia unachojenga kizidi unachokibomoa kimantiki nk.
 
Naweza kuunganisha dots.
Kuna baadhi ya shule za serikali za msingi kwa sasa kumekuwa na ubunifu wa kuwataka watoto/wanafunzi kufika darasani saa 12 asubuhi na kutoka saa moja jioni. Pia weekend moja inapukusuliwa.

Pamoja na hii nia njema lakini kuna mambo hayajazingatiwa kama:

1: Usalama wa watoto(muda wa kufika na kuondoka ni hatarishi , unapoanza kuondoka na kufika nyumbani).

2: Afya za watoto/ muda mrefu wa kusoma bila kupumzika(muda ulioongezwa ni zaidi ya nusu ya muda wa kawaida).

3: Psychological toucher/watoto wanaweza kuona shule ni mzigo, wasifurahie uwepo wao shuleni.

NB: Ukikutana na mwalimu mkuu anakwambia tulishakaa kikao na kuamua, tunataka wafaulu.
Kweli kabisa na ukipinga unaonekana mchawi , kuna shule moja ya sekondari hapa dar wamewataka wazazi walipe 2500 na kwa wiki ili walimu kufundisha alfajiri , jioni na Jmosi kama muda wa ziada ukipinga jibu wamekubaliana hivyo kwny kikao na wazazi.
 
Changamoto hizo ni kama ifuatavyo;-

(1) Kutofautiana kwa idadi ya vipindi kati ya syllabus na kalenda katika baadhi ya masomo. Maeneo mengi yameonesha kwenye syllabus kuwa na vipindi vingi katika mada husika wakati kwenye kalenda mada hizo hizo zimewekewa vipindi vichache na hali muda wa vipindi ni ule ule
1644569266000.png
 
Unapojenga na kubomoa, angalia unachojenga kizidi unachokibomoa kimantiki nk.

Sijakuelewa??
Kama ndo uhalisia??

Suala hapa ni ku-modarate tu, ndio maana nimeeleza kuwa inafanywa kwa nia njema na hakuna ulipopingwa mpango mzima.
 
Back
Top Bottom