ngasha
Senior Member
- Jul 9, 2016
- 145
- 74
Hizo ndizo kauli za watu walio elimika ambao wana-focus katika maendeleo Sikh zote
Twapaswa kujifunza kupitia wao usi waige walio-fail maisha wao hskuna watacho kufundisha zaidi ya kuponda watu na kujadili maisha ya watu Mara oooh flani Freemason Mara muuaji Mara anatoa kafara watu n.k bila kufikiria mipango chanya itayo mfanyanae afike pale
ELIMIKA NDUGU: La sivyo utaishia kupiga majungu na kuwa na maisha ya magumu milele
Fanyakazi, Jitume, pia Ambatana na walio fanikiwa
END