nili lumangia na chumvi...si unajua mkuu usawa wa JK huu!!!
Inawezekana ni kweli maanake ugali wenyewe hauna hata mboga! Angekunywa japo maji wakati anaula.
Ugali wa Yanga Watanzania waliokuwepo Miaka ya 1983-4 waliula Sana huu Mahindi ya njano Msaada kutoka Marekani... Mahindi ya Njano yalikuwa ni Special kwa Mifugo ya Wanyama kama Ng'ombe Nguluwe n.k Mwaka huo bila hii kitu Watanzania wengi wasingekuwepo Yaani?
Kumbe Ndibalema ww dogo sana, Unga wa yanga unaita dona? haaah haaaaaaaaaaaaaaaaaah!Kitu cha dona hiko.