kapongoliso
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,353
- 487
Loasa Alifuatana na vibaka wenzake wakiongozwa na Caetano Kingunge, frateri aliyegeuka kuwa Marxist ambaye amehama toka ujamaa hadi kwenye ubepari unaonyonya damu za wavujajasho mithili ya mumiani.