Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,196
- 12,379
Wanataka kumpiga ama?Inasemwa Dkt Mashinji Kaja kuweka Mazingira sawa,
jee amekumbuka kuweka standby Ambulance?
Wanataka kumpiga ama?Inasemwa Dkt Mashinji Kaja kuweka Mazingira sawa,
jee amekumbuka kuweka standby Ambulance?
Mjumbe wa kamati kuu na mgombea urais mwaka 2015 ndugu Edward Lowassa, amewasili makao makuu ya Polisi saa nne kama alivyoambiwa na DCI.
Lowassa alikuwa amefuatana na Magari manne ya kwake pamoja na magari mawili ya polisi wenye Siraha.
Kabla ya kuwasili kwa Lowassa, aliyetangulia mapema leo alikuwa katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Mashinji. Aliwasili kuhakikisha anaweka sawa maswala ya kisheria na msaada wowote utakaohitajika.
Waandishi wa habari hawakuruhusiwa kusogea eneo la tukio kwani ulinzi umeimalishwa.
Kwa lolote litakalotokea tutazidi kujuzana.
Jana Edward Lowassa alipokea wito wa kumtaka aonane na DCI leo saa nne bila kukosa.
Nani unamuulizia? au huyu Baba kipara SIZONJE?Bado yupo tu huyu babuu mlafi wa madaraka ya kulevya
Apewe pongezi na polisi au!!??Yani wewe ulitaka akamatwe., hata hujui smeitiwa nini, mbna ivyo mkuu? Anaweza akaitwa kupewa pongezi.
Lowasa anaonja shubiri ya siasa za upinzani tz.
Hivi mjumbe wa kamati kuu cheo chake ni kikubwa kuliko katibu? Make katibu eti ndo anaenda kufanya kazi ya maandalizi....Mumekaza kutaja kumbrand Mjumbe wa Kamati Kuu!!! Si muwe wakweli kusema Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi kama mlivyokuwa mnamuita kwa miaka 8?
Kabla hujaongea fikiliaMjumbe wa kamati kuu na mgombea urais mwaka 2015 ndugu Edward Lowassa, amewasili makao makuu ya Polisi saa nne kama alivyoambiwa na DCI.
Lowassa alikuwa amefuatana na Magari manne ya kwake pamoja na magari mawili ya polisi wenye Siraha.
Kabla ya kuwasili kwa Lowassa, aliyetangulia mapema leo alikuwa katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Mashinji. Aliwasili kuhakikisha anaweka sawa maswala ya kisheria na msaada wowote utakaohitajika.
Waandishi wa habari hawakuruhusiwa kusogea eneo la tukio kwani ulinzi umeimalishwa.
Kwa lolote litakalotokea tutazidi kujuzana.
Jana Edward Lowassa alipokea wito wa kumtaka aonane na DCI leo saa nne bila kukosa.
Ulinzi wa waziri mkuu mstaafu.Sasa kama ameitikia wito, hayo magari mawili ya polisi wenye silaha ni ya nini tena?!
Anatamani awe rais hata dakika mojaBado yupo tu huyu babuu mlafi wa madaraka ya kulevya
FikiriaKabla hujaongea fikilia
HahahahaInasemwa Dkt Mashinji Kaja kuweka Mazingira sawa,
jee amekumbuka kuweka standby Ambulance?
Baada ya mahojiano ni lupangoFisadi mbna hampelek mahakamani?
Kweli kabisa mkuuChenge na tibaijuka nadhani watakuwa hoi kabisa, pressure zinapanda pressure zinashuka
Ameitwa kuhojiwa ya ufisadi au matamko ya kwenye futari?Mumekaza kutaja kumbrand Mjumbe wa Kamati Kuu!!! Si muwe wakweli kusema Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi kama mlivyokuwa mnamuita kwa miaka 8?
Taja mwanasiasa mmoja asiye mlafi wa madaraka.Bado yupo tu huyu babuu mlafi wa madaraka ya kulevya
Hzo kiki za kuzima sakata la makinikiaBaada ya mahojiano ni lupango