Mhe edward lowasa ameokoka na sasa amekuwa mlokole anasubili kubatizwa maji tele.
Hatua hiyo imefikia baada ya kushauliwa na tb joshua wa nigeria
Mhe edward lowasa ameokoka na sasa amekuwa mlokole anasubili kubatizwa maji tele.
Hatua hiyo imefikia baada ya kushauliwa na tb joshua wa nigeria
Mmeahidiwa kuupata URAHISI 2015 na Nabii Joshua.Ubatizo wa maji tele huwa unafanyika kwa kumuzamisha mhusika kwenye mto au kisima, tukio ambalo lowasa anataka lifanyike kwa siri.
Dhana hasa ya kupatizwa maji tele ni sawa na kujivua gamba!!!!!!
Huo ubatizo bado hautoshi kumuepusha na kikombe cha laana ya watanzania takriban mil 40,arudishe mabilioni lukuki aliyowaibia wananchi wanyonge na kuwaacha wakigaragazwa na umasikini!!Mhe edward lowasa ameokoka na sasa amekuwa mlokole anasubili kubatizwa maji tele.Hatua hiyo imefikia baada ya kushauliwa na tb joshua wa nigeria
Ubatizo wa maji tele huwa unafanyika kwa kumuzamisha mhusika kwenye mto au kisima, tukio ambalo lowasa anataka lifanyike kwa siri.
Dhana hasa ya kupatizwa maji tele ni sawa na kujivua gamba!!!!!!
Well said mkuu.Anahangaika tu but nothing will change his conscience except true repentance kwamba ni corrupt!!!! kwa kuingiza nchi kwenye mikataba feki iliyotu-cost fedha nyingi sisi walala hoi. Labda kawa charmed na prosperity gospel ya akina Joshua/winners chapel? Wote ni feki, using God/religion to garner money from poor flock who are desperate themselves...it is vanity and chasing after the wind!!!!!!
Nilijua ameslim
kama ameokoka, mi naweza kumpa kura akigombea urais...safi sana.Mhe edward lowasa ameokoka na sasa amekuwa mlokole anasubili kubatizwa maji tele.
Hatua hiyo imefikia baada ya kushauliwa na tb joshua wa nigeria
Mhe edward lowasa ameokoka na sasa amekuwa mlokole anasubili kubatizwa maji tele.
Hatua hiyo imefikia baada ya kushauliwa na tb joshua wa nigeria
.Kwani ulokole ni dini?