donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Ndio wakuu, nafkiri wote tupo sawa na mambo yote 'sayona'. kwa wale wapenz wa novels za aina zote, vitabu vya arts,science,mapishi,3d moddeling,programming,fashion etc. unaweza pata vitabu vyako katika simu yako na ukaenjoy kuxoma novelz zako popote pale ulipo ukiwa na simu yako. faida ni kwamba vitabu hivi ni vina capacity ndogo sana ambazo haiitaji hata uwe na mem card. NB: ukiwa unataka ku download watakwambia ni 0bytes we usijali just start downloading utaona real capacity ambavyo so far sijaona hata kilichofika 1MB. gonga kwenye: www.mnybks.net