ebooks in ur mobile phone without pdf reader

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,522
Ndio wakuu, nafkiri wote tupo sawa na mambo yote 'sayona'. kwa wale wapenz wa novels za aina zote, vitabu vya arts,science,mapishi,3d moddeling,programming,fashion etc. unaweza pata vitabu vyako katika simu yako na ukaenjoy kuxoma novelz zako popote pale ulipo ukiwa na simu yako. faida ni kwamba vitabu hivi ni vina capacity ndogo sana ambazo haiitaji hata uwe na mem card. NB: ukiwa unataka ku download watakwambia ni 0bytes we usijali just start downloading utaona real capacity ambavyo so far sijaona hata kilichofika 1MB. gonga kwenye: www.mnybks.net
 
nafahamu hizo books but weakness yake havina chapter in case meishia kati kati nawa siwezi kuresume next time mpaka npatafute tena. Je hivo vyako vinavo?
 
Mimi huwa naviweka katika notepad na nasoma kama kawaida na ninapoishia ndipo naanzia nikifungua tena simu yangu ya kichina.
 
nafahamu hizo books but weakness yake havina chapter in case meishia kati kati nawa siwezi kuresume next time mpaka npatafute tena. Je hivo vyako vinavo?
<br />
<br />
yep mkuu kuna option ya kuweka bookmark na unaendelea ulipoishia bila matatizo
 
Back
Top Bottom