Easy Finance matapeli?

Aisee bana mi bado naiwazia ile $25,000 credit card. Yaani kama najiona nime mjoin brazameni huko Brazil....lol

Back to the topic.....
Mimi nafikiri lawama kubwa zinapaswa kutupia serikali. Serikali inatakiwa iweke regulations ambazo zitakuwa fair to both parts.

Hatuwezi kuwalaumu Easy Finance, kwa sababu wako pale for profit. Kwa hiyo as long as hawaendeshi biashara yao kinyume cha sheria, hawastahili lawama yoyote.

Pia, hatuwezi kuwalaumu wateja. Kama inavyojulikana, wateja wanaenda kwenye finance companies kama Easy Finance kwa sababu ya desparations. Na mtu yoyote aliyekuwa desparate hatengi muda wa kuangalia risk zilizozunguka kwa undani zaidi. Sote twajua hilo.

Kwa hiyo ni serikali ndio inatakiwa i-regulate biashara kama hizi....

Wakinipa kw 6% bila annual fees naichukua haraka sana, maana kwa jinsi mabnk yalivyo na hali mbaya sasa hivi huo ni mkopo nafuu mno, lakini pia inbidi kutoendekeza matanuzi maana unaweza kuzifyeka hizo $25,000 zote halafu jamaa wanakwambia tunaongeza mpaka 12% bada ya muda twena wakaongeza tena mpaka 15% hili linawezekana kabisa.

Brazameni huko Brazil kanogewa na vimwana vya huko hataki kurudi tena :)
 
Kuna mtu anaweza kujitolea tuichunguze hii kampuni kuanzia wiki ijayo na tuje na majibu yetu hapa kama uko tayari niandikie pm sio lazima tuonane wala kukutana tunabadilishana uzoefu na kutuma watu wetu
 
Bandugu,

The question here is NOT kuichunguza Easy Finance, rather, kujiuliza na kuwauliza wahusika, i.e. BOT (who are the regulators...), kwamba (a) are the micro-finance lending procedures being adhered to by these .... erm... loan sharks? and (b) is the regulator aware if they are not? If they are not aware, WHO should make them aware? I say this calls for a series of articles in the media, plus leaks to our friends in the media, as well as a coordinated campaign.... let's find all the VICTIMS (people who have been loan-sharked by Easy Finance) and have them make a public statement. One call to Jerry Muro or Sudi Mnete, who are both very close friends of mine, will get these people on the ITV airwaves, and you all KNOW the power of the media, dont you?

What are we waiting for?

./Mwana wa Haki

P.S. I KNOW these people (Easy Finance). I worked with them, I know how they operate. Yes, there ARE people who have failed to service their loans due to the exaggerated interest rates! Thirty percent PER MONTH? Where in the world does anybody get charged that amount of money? This is worse than what Shylock would charge! Not the arm and a leg kind here, but MORE! This does seem to be the work of Iblis himself! He HAS many faces, doesnt he?
 
Hawa jamaa wa Easy Finance walichukua magari ya watu wengi mno walioshindwa kurudisha mkopo. Matokeo yake walipoona yanarundikana wakaanzisha kampuni Car Hire inaitwa TRAVEL MATE!!!
 
1) Biashara ya Casino nayo hayamsaidii mtu yoyote na wala haileti maendeleo
2) Vile vile unapo azima hela Easy finance its at ur own risk
3) 70%inarudi in Tax, be serious my friend!!!
4) Marekani ukichukua gari on finance mbona kama hulipi wanakuletea repo man.

I think you need to come up with a better justification so i am asking you again why are ppl attacking high intrest loan providers who take higher risks than back and not casinos which coz more destruction to societies than them???

we are talking about Financial Institution here pls.
 
Hawa jamaa wa Easy Finance walichukua magari ya watu wengi mno walioshindwa kurudisha mkopo. Matokeo yake walipoona yanarundikana wakaanzisha kampuni Car Hire inaitwa TRAVEL MATE!!!


Not true.Yes kuna wakati ilisemekana kuwa Mkurugenzi mkuu wa Easy Finance,Kassanga,ana shares Travel Mate,ukweli wake siujui.Lakini huyo mwenye travel mate alifaidika na wizi uliofanyika zamani ukimuhusu Mkurugenzi Mkuu wa Easy Finance mpaka kufukuzwa kazi Standard Chattered Bank.
 
Not true.Yes kuna wakati ilisemekana kuwa Mkurugenzi mkuu wa Easy Finance,Kassanga,ana shares Travel Mate,ukweli wake siujui.Lakini huyo mwenye travel mate alifaidika na wizi uliofanyika zamani ukimuhusu Mkurugenzi Mkuu wa Easy Finance mpaka kufukuzwa kazi Standard Chattered Bank.

Then you can connect the dots........!!!
 
Then you can connect the dots........!!!

Dots cannot be connected kwa sababu it was established kuwa Kassanga ni employee wa Easy Finance,hana hisa zozote,na ni yeye sio hao wamiliki wa Easy Finance ambao inasemekana wana hisa Travel Mate.Na Kwa kumbukumbu yangu mbovu,Travel Mate was there before Easy Finance
 
Bottom line is that Easy Finance has never to date forced anyone to take a loan with them, even though clients knew the terms and conditions, interest rates, security and procedures they still went for loans. There are people who have borrowed and repaid from Easy finance at that time they had no other alternative; naturally as with any lending facilities there are also those who have defaulted and had their security liquidated. There is always people who want quick and easy fixes in life Easy finance did not create this demand, it was there from the beginining... They saw a gap and they went for it!!! Blame capitalism not easy finance, you know wat they say right?? Dont hate the player hate the game.....

Nakuunga mkono mkuu, sidhani kama kuna mtu amelazimishwa kukopa, ukitaka kupata loan ya haraka kuna cost zake. sio kila kitu mnasingizia EPA MTADUMAZA AKILI ZA WATU. That is a business kama hutaki usiende huko. hata loans za banks zina garama zake na upatikanaji wake mnaujua. THE HIGHER THE RISK THE HIGHER THE RETURN
 
Uzushi!
Ukiambiwa thibitisha utaweza?

Basi naomba kurekebisha kauli yangu na isomeke hivi......"INASEMEKANA kwamba wamiliki wa Easy Finance ndio wenye Travel Mate"

Halafu, mbona wengine mnakuwa wakali sana humu? Au mna hisa Easy Finance nini?
 
Basi naomba kurekebisha kauli yangu na isomeke hivi......"INASEMEKANA kwamba wamiliki wa Easy Finance ndio wenye Travel Mate"

Halafu, mbona wengine mnakuwa wakali sana humu? Au mna hisa Easy Finance nini?

Sasa wamiliki wa Easy Finance ndio wenye Travel Mate, what conclusion/message do you want to make here? any way asante kwa taarifa.
 
Sasa wamiliki wa Easy Finance ndio wenye Travel Mate, what conclusion/message do you want to make here? any way asante kwa taarifa.

Kandambili, ungesoma kuanzia nyuma kidogo kwenye hii thread, ungeewa maana ya post yangu hii. Nilisema inasemekana kwamba walikusanya magari mengi sana (yaliyokuwa yamewekwa kama dhamana)toka kwa watu walioshindwa kulipa mikopo yao, ndipo wakaanzisha Travel Mate.....INASEMEKANA!!!
 
Basi naomba kurekebisha kauli yangu na isomeke hivi......"INASEMEKANA kwamba wamiliki wa Easy Finance ndio wenye Travel Mate"

Halafu, mbona wengine mnakuwa wakali sana humu? Au mna hisa Easy Finance nini?

Mkuu,
1.Samahani kama mimi ni mmoja wa unaowahisi kuwa na ukali kwenye posts... ila sina hisa kwenye Easy wala Travelmate japo zote nazijua vizuri.

2.Nashukuru pia kuwa umerekebisha usemi wako na kusema "INASEMEKANA".Hii ni dhahiri kuwa huna uhakika na unachokisema na ndiyo nikakuuliza utaweza kuthibitisha?

3.Unajua Mkuu hizi hearsays mara nyingi hazisaidii kurekebisha kasoro au matatizo na badala yake zinajenga ile dhana kuwa kuna kuzusha maneno for the sake of kusema tu.

4.Inapendeza tujadili facts na hatimaye tufikie suluhisho .Kama hapo umehusisha uanzilishi wa Travelmate na kulundikana kwa magari ya collateral ya Easy Finance wakati wenyekuelewa wanajua kuwa Travelmate ilianzishwa hata kabla ya Easy Finance.
 
Isaac Kassanga is not the true owner of Easy Finance.There are two guys behind it,who are happy to lie low and their office is there.Kuna rumours kuwa Isaac Kassanga wants to step down.He has been put there as Chairman and CEO because of his experience within the banking industry especially kwenye mambo ya mikopo

Tupe majina ya hao jamaa tuwajue.
 
Isaac Kassanga is not the true owner of Easy Finance.There are two guys behind it,who are happy to lie low and their office is there.Kuna rumours kuwa Isaac Kassanga wants to step down.He has been put there as Chairman and CEO because of his experience within the banking industry especially kwenye mambo ya mikopo

Huyo ISAAC KASSANGA ndie yule aliyekuwa section ya loans Standard chartered bank? Wakopaji kazi ipo!
 
Kwani hao hizo Finance wamevunja masharti ya leseni? Je wako chini ya regulator yupi? sheria zinasemaje kuhusu aian hiyo ya biashara?

we have also to consider the concept ya "caveat emptor". Kama sheria haijavunjwa, then inabidi tuwe wapole katika hili.
 
Back
Top Bottom