BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Unakwenda mwenyewe EF kuomba mkopo, unaambiwa masharti ya mkopo na unayakubali. Unapewa mkataba kuusaini baada ya kutimiza masharti ya mkataba huo unausaini unachukua bulungutu lako na kwenda kufanyia shughuli uliyoitarajia kama ni biashara, kumsomesha mtoto au mwenyewe au kuhudumia nyumba ndogo n.k. Ikija kwenye kuanza kurudisha mkopo huo unang'aka na kuruka juu kama vile masharti ya mkopo huo hukuyabukali na wala huyajui na kuanza kuwaita EF matapeli!!!! Wabongo bwana!!! Kazi kweli kweli!!!!