Jamaa siku yao ya kwanza ya ndoa akamuuliza mkewe,..."Je,una hakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?...Mke akajibu kwa uhakika kabisa..Ndiyo honey,wengine wote ilikuwa hatulali,ni shughuli mpaka asubuhi."
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.