JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Nguruvi,
..Bajeti yetu inategemea nchi wahisani kwa asilimia 26.
..je, Iran wanaweza kubeba mzigo huo peke yao??
..mimi ningekuwa ktk uongozi ningewaambia Iran wapande dau ndipo tuwasaidie kukwepa vikwazo.
..sasa hivi nina hakika hata US wakituuliza "what r u getting frm Iran??", tutabaki tumebun'gaa.
..Hata Kenya na Uganda hawawezi kujiingiza kwenye michezo hii bila kuhakikisha wanafaidika kwelikweli.
..nakumbuka Mchina "alipanda dau" kwa kutujengea reli ya TAZARA baada ya nchi za magharibi kutuwekea longolongo.
..nchi za magharibi zilikuwa zinapinga uanachama wa China UN wakiipendelea Taiwan. Watanzania tulipambana kwelikweli ndani ya UN na "kufunga goli la kidiplomasia" pale kura yetu ilipowezesha China kurudishwa UN.
NB:
..naomba mnirekebishe hapo juu kama nimekosea kuhusu suala la China ktk UN.
..pia muwahabarishe wasomaji kuhusu kisa cha Salim Salim vs George Bush ndani ya UN.
..Bajeti yetu inategemea nchi wahisani kwa asilimia 26.
..je, Iran wanaweza kubeba mzigo huo peke yao??
..mimi ningekuwa ktk uongozi ningewaambia Iran wapande dau ndipo tuwasaidie kukwepa vikwazo.
..sasa hivi nina hakika hata US wakituuliza "what r u getting frm Iran??", tutabaki tumebun'gaa.
..Hata Kenya na Uganda hawawezi kujiingiza kwenye michezo hii bila kuhakikisha wanafaidika kwelikweli.
..nakumbuka Mchina "alipanda dau" kwa kutujengea reli ya TAZARA baada ya nchi za magharibi kutuwekea longolongo.
..nchi za magharibi zilikuwa zinapinga uanachama wa China UN wakiipendelea Taiwan. Watanzania tulipambana kwelikweli ndani ya UN na "kufunga goli la kidiplomasia" pale kura yetu ilipowezesha China kurudishwa UN.
NB:
..naomba mnirekebishe hapo juu kama nimekosea kuhusu suala la China ktk UN.
..pia muwahabarishe wasomaji kuhusu kisa cha Salim Salim vs George Bush ndani ya UN.